updates za msiba wa mdada aliepigwa risasi,morocco

updates za msiba wa mdada aliepigwa risasi,morocco

kapigwa risasi na majambazi? ilikuwaje hebu njoeni na taarifa jaman wengne ndo leo tunafungua jf baada ya hotuba ya "mzee wa hela za madafu"
 
Kuna kikundi cha majambazi wanatembea na boxer waliua jamaa hapa masoko tabata kwa kumpiga risasi,vile vile walimkosa jamaa baada ya kumpiga risasi ikatoboa sikio maeneo ya mlimani city wakachukua hela inasemekana walienda Sinza baa ya Mawela wakaua mlinzi na kuweka wateja chini ya ulinzi wakachukua hela, siku iliyofuata inasemekana ndio wakafanya tukio morroco.

Malizia na police tigo wanawajua....ila kazi yao imebaki kukimbizana na bodaboda kuwachukulia elfu 5 basi.

Wezi wa pikipiki uiba karibu na junctions ambapo police wapo, tafakar chukua hatua.
 
Mi kinachonisikitisha ni hili jambo la lugha kwa watanzania. Kiswahili hatujui, kiingereza hatujui. sisi tunajua nini? napata wazo kuna haja ya kuanzisha darasa la lugha humu ndani ya jamiiforums. otherwise people are writing some stuff when you read it is very hard to understand why the person is using english while he or she isnt competent? nimeongea kizungu kuonesha msisitizo. jambo moja ninaloweza msifu faiza ni kuwa anapenda sana lugha hilo tuna ushirika kwa kweli maana wenyeji wa upwa wanasema " mnyonge mnyongeni haki yake mpeni" ingawa... ashakum si matusi kuna wakati flan faizafoxy ana watu wake atawatetea tu bila hata kureason kwa sabab ya...... na mahaba pia. kwenye suala la lugha nakuunga mkono. wanaosema ndio waseme ndio walioshindwa waseme ndio pia. waliosema ndio Tumeshinda. Hoja imepita.
 
"Mi" - neno uliloanza nalo kwenye uandishi wako kwa kiswahili maana yake nini?
 
Mi kinachonisikitisha ni hili jambo la lugha kwa watanzania. Kiswahili hatujui, kiingereza hatujui. sisi tunajua nini? napata wazo kuna haja ya kuanzisha darasa la lugha humu ndani ya jamiiforums. otherwise people are writing some stuff when you read it is very hard to understand why the person is using english while he or she isnt competent? nimeongea kizungu kuonesha msisitizo. jambo moja ninaloweza msifu faiza ni kuwa anapenda sana lugha hilo tuna ushirika kwa kweli maana wenyeji wa upwa wanasema " mnyonge mnyongeni haki yake mpeni" ingawa... ashakum si matusi kuna wakati flan faizafoxy ana watu wake atawatetea tu bila hata kureason kwa sabab ya...... na mahaba pia. kwenye suala la lugha nakuunga mkono. wanaosema ndio waseme ndio walioshindwa waseme ndio pia. waliosema ndio Tumeshinda. Hoja imepita.
Kwaivyo, Bi: FF mahaba niuwe yana muhusu hapa jf.....?
 
Huyu dada ni graduate hapo ardhi university mwaka 2012. Familia ya wana aru most wako msibani. Mimi mwenyewe nime graduate pale mwaka huu, kote kwenye groups zetu ni updates tu za yanayojiri
 
BADALA YA KUWEKA WASIFU WA MAREHEMU PAMOJA NA PICHA WATU TUKAJUA, MTU ANAKUJA NA KUSEMA NIMEGRADUATE NAE UTAFIKIRI KAULIZWA.Je Angekuwa Ni Jambazi Ungejitokeza Kusema Umegraduate Nae?
 
kapigwa risasi na majambazi? ilikuwaje hebu njoeni na taarifa jaman wengne ndo leo tunafungua jf baada ya hotuba ya "mzee wa hela za madafu"

Mkuu kova kelele tu sijui ntapaka rangi pikipiki sijui nini lakini hawa jamaa wanahitaji mkakati wa thinkers la sivo kova anacheza.... huyu dada alipigwa risasi maeneo ya morocco alikuwa mpita njia na kukutana na hawa jamaa wanao tumia pikipiki za boxer wakiiba kwenye viduka vya mpesa... na kumpiga risasi ya kichwa.. alikuwa ameolewa kama mwezi mkoja tu.... may our Good Lord rest her soul in peace.... inasemekana aliso ardhi na kuchukua Environmental Engineering. ... she went so soon kwa sababu ya kuwa na serikali na jeshi lisilo weza linda watu wake... police wanajia washoot wapinzani na wapiga kura tu but hawana intelligencia ya kukamata majambazi wanao tumia pikipiki....
 

Attachments

  • IMG-20141223-WA0032.jpg
    IMG-20141223-WA0032.jpg
    70.9 KB · Views: 653
  • IMG-20141223-WA0030.jpg
    IMG-20141223-WA0030.jpg
    201.2 KB · Views: 637
  • IMG-20141223-WA0038.jpg
    IMG-20141223-WA0038.jpg
    28.3 KB · Views: 614
Back
Top Bottom