Senior State Attorney - serikali imeamua kuondoa mapingamizi iliyoyaweka awali tarehe 20/07/2023
Ni hatua nzuri serikali kutochelewesha kusikilizwa kesi hii muhimu ya kikatiba iliyofunguliwa na wananchi
25 July 2023
Mbeya, Tanzania
Senior State Attorney - serikali imeamua kuondoa mapingamizi iliyoyaweka awali tarehe 20/07/2023
Ni hatua nzuri serikali kutochelewesha kusikilizwa kesi hii muhimu ya kikatiba iliyofunguliwa na wananchi
Kama nilivyokuchapa juzi katiMawakili "wasomi" wa upande wa malalamiko washapigwa 3-0 mpaka sasa, kistaarabu kabisa.
Kwi kwi kwi teh teh teh
Kama huko madrassa wangekua wanawafundisha vitu vya maana, basi ungejua kua jina la mtu huanza kuandikwa kwa herufi kubwa!mdude nyagali
Kuna wakili "Mpare" na "Mpale" au ndiyo shule ulienda kusomea ujinga?
View attachment 2699060
Ungeelimika japo kiduchu ungeelewa kuwa ndivyo alivyoandika mwenyewe, mimi nime-tag tu.Kama huko madrassa wangekua wanawafundisha vitu vya maana, basi ungejua kua jina la mtu huanza kuandikwa kwa herufi kubwa!
Hahaaaaaaazsmdude nyagali
Kuna wakili "Mpare" na "Mpale" au ndiyo shule ulienda kusomea ujinga?
View attachment 2699060