Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,082
- 10,454
Akiteuliwa kuwa mgombea wa ccm Ukawa wanachukua nchi saa 4 asubuhi wanakunywa chai ikulu.
loading......................
​mkuu kwa hiyo hitakua kama kumsukuma mlevi?Akiteuliwa kuwa mgombea wa ccm Ukawa wanachukua nchi saa 4 asubuhi wanakunywa chai ikulu.
Aliiba nini mkuu?
We mwenyewe ukoma.ndondocha wewe kama huji kutafuta fweza ni juu yako wenzio wanapiga kaz.acha kuishi kwa kucheza baoLowassa kapata wapi utajiri mkubwa namna hii.mpaka sasa ameshatumia mabilioni ya fedha kwa viongozi wa dini pamoja na watanzania wenye njaa kuwashawishi wamsapoti katika harakati zake za kuingia ikulu.je huyu mtu ana malengo gani pale ikulu na kwanini atumie fedha nyingi kiasi hiki ili tu awe raisi wa nchi hii.? Jamani watanzania tukumbuke maneno ya mwalimu Nyerere mtu anayetumia fedha kwenda ikulu ni wa kumuogopa kama ukoma.mtajuta nawaambia haya asiyesikia la mkuu.....
UZi wa namna hii sio JF, huna taarifa subiria taarifa zitakuja tu, sasa unaandika hakuna content yoyote kwa maslahi yapi?? ya kuanzisha uzi??? am sorry i did not like it at all.
Wakuu
Mwenye updates ya kikao kinachoendelea watupe.tufaham mbivu na mbichi leo
tumefiwa na muhamasishaji wa chama kwenye nyimbo, kwahiyo tumechanganyikiwa maana ni kiungo sana.
Sasa Magamba sijui wataimbiwa na nani!!!!?