lembatusilver
Senior Member
- Jan 17, 2015
- 103
- 19
Wamfukuze kwa lipi? wajumbe wengi wenyewe wa lowassa sasa nani wa kumfukuza. funga domo lako hujui kitu.
KIKAO CHA KAMATI KUU...................kikao cha kamati kikuu kinaendelea sidhani agenda ni moja tu, kuna agenda nyingi hiyo ni ndogo sana, lakini CHAMA CHA MAPINDUZI KINA MISINGI YAKE KILIYOJIWEKEA TOKA ENZI NA DAHARI, acheni ushabiki maandazi Edward Ngoyai Lowassa hawezi na hataweza kuwa rais wa nchi hii ya Tanzania, hata yeye kwenye nafsi yake anajua hilo kwa hali ilipofikia anajua tu, ila ni vigumu kujitoa katika mbio hizo kwa sasa.
TUHUMA ZINAZOMKABILI ni nyiiiiiiiiiiiiiiiingi, MASHAKA WALIYONAYO WANACCM WENZIE JUU YAKE ni meeeeeeeeengi, sasa anajua hawezi kuwa, UTAJIRI WAKE UNAMASHAKA MAKUBWA KWANI HAUELEZEKI kwa kifupi mambo ni mengi .
jueni tu kwamba Edward Ngoyai Lowassa hawezi kuwa rais wa nchi hii ya Tanzania. aendelee tu kumuunga mkono kijna wake Emmanuel Nchimbi hivyo hivyo japo anaweza kufika tano kwa kuanzia.
Aliiba nini mkuu?