Updates: Yanayojiri CC ya CCM

Updates: Yanayojiri CC ya CCM

Baada Ya CC kupata taarifa walisimama kwa dakika moja kwa ajili ya Mpiganaji wao aliyetangulia "Msituni"
 
Kikao kimeahiruishwa...

Kitaitishwa tena baada ya Msiba wa Mh Komba
 
We mwenyewe ukoma.ndondocha wewe kama huji kutafuta fweza ni juu yako wenzio wanapiga kaz.acha kuishi kwa kucheza bao
Nakushangaa Sana badala ya kujibu hoja unaanza matusi jaribu kuwa na ustaarabu.
 
Habari ya kifo cha komba itavuruga ratiba za ccm lazima.kwa sasa wanapanga nani ataziba pengo na mida uliobaki ni miezi Kama mitano Tu kampeni zianze.hili ni pigo kubwa sana kwa ccm.
 
ImageUploadedByJamiiForums1425140611.539389.jpg

Chenge, Ngeleja, tibaijuka out,,!!' lowassa , membe, Makamba kuendelea na kifungo.
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1425140591.389067.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1425140591.389067.jpg
    12.1 KB · Views: 414
KAMATI KUU ya CCM iliyokutana leo tarehe 28/8/2015, kuanzia saa nne asubuhi mpaka saa kumi na moja alasiri, imeazimia yafuatayo;

1. Kamati Kuu iliyopita iliiagiza kamati ya maadili kuwaita na kuwahoji wanachama na viongozi watatu waliotajwa kuhusika na kashfa ya Escrow
2. Viongozi hao ni; @ Mheshimiwa Anna Kajumulo Tibaijuka. @ Mheshimiwa William Mganga Ngeleja. @ Mheshimiwa Andrew Chenge.
3. Baada ya Kamati ya Maadili kuwahoji, Kamati Kuu imeazimia kuwasimamisha kuhudhuria vikao vyote vya Chama ambavyo wao ni wajumbe.
4. Ikiwemo Kikao cha Kamati Kuu kwa Mama Anna Tibaijuka na Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa kwa Mheshimiwa Chenge na Mhe. Ngeleja.
5. Wakati ambapo kamati ndogo ya maadili ikiendelea na uchunguzi wa kuhusika kwao katika kashfa hiyo.
6. Pia, Kamati Kuu imejadili suala la Adhabu iliyotolewa kwa wanachama wake sita ambao walibainika kuvunja Kanuni na sheria za Chama.
7. Kamati Ndogo ya Maadili imeagizwa kuendelea kuchunguza mienendo ya wanachama hao walioadhibiwa kwa kuanza Kampeni kabla ya wakati.
 
Utetezi wa kwamba alifanya kosa kwa sababu alitumwa ama walishirikiana na raisi, haumuondelei hatia ya kutenda kosa. Sawa na mwizi yeyote anayesema niliiba hili gari kwa sababu bosi wangu alinituma niliibe. Wizi ni wizi na tenda ukishakuwa kwenye mtandao ndio hatari zaidi. Lowasa kusema alishirikiana na kikwete kwenye wizi ule, unamfanya awe wa hatari zaidi.

Akijitetea kwamba alifanya bila kujua kama ni kosa, maana yake hata kuwa katika hicho kiti cha waziri mkuu, hakustahili. Huwezi kuwa na waziri asiyejua majukumu yake, mipaka yake na miiko ya kazi yake.

Na kama hadi leo amegoma kusema nani mmliki wa richmond wakishirikiana na kiwete wake, ni ujumbe tosha kwamba hawa watu wanalindana na atakuja kumalizia alichobakiza kikwete.

Lowasa hawafi hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi.




Mbona alishasema kuwa hakuna kilichofanyika juu ya Richmond bila Rais kufahamu!!!
 
Back
Top Bottom