uchanga siyo hoja kwenye soka..inategemeana na uchanga wenu mmejipanga vipi...pia kama ukiangalia kombe la mapinduzi basi hata yanga usiipe ubingwa kwa kufanya vibaya kwenye mechi za majaribio huko uturuki.....hata ma u mbona anafanya vibaya epl lakini anafanya vizuri klabu bingwa ulaya......