Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
nani ana msimamo wa ligi

[TABLE="width: 445"]
[TR]
[TD="width: 39"]NA
[/TD]
[TD="width: 113"] TIMU
[/TD]
[TD="width: 47"] p
[/TD]
[TD="width: 57"] W
[/TD]
[TD="width: 47"] D
[/TD]
[TD="width: 47"] L
[/TD]
[TD="width: 47"] GD
[/TD]
[TD="width: 47"] PTS
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 39"] 1
[/TD]
[TD="width: 113"] YANGA
[/TD]
[TD="width: 47"] 23
[/TD]
[TD="width: 57"] 16
[/TD]
[TD="width: 47"] 5
[/TD]
[TD="width: 47"] 2
[/TD]
[TD="width: 47"] 28
[/TD]
[TD="width: 47"] 53
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 39"] 2
[/TD]
[TD="width: 113"] Azam FC
[/TD]
[TD="width: 47"] 23
[/TD]
[TD="width: 57"] 14
[/TD]
[TD="width: 47"] 5
[/TD]
[TD="width: 47"] 4
[/TD]
[TD="width: 47"] 22
[/TD]
[TD="width: 47"] 47
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 39"] 3
[/TD]
[TD="width: 113"] Kagera Sugar
[/TD]
[TD="width: 47"] 23

[/TD]
[TD="width: 57"] 10
[/TD]
[TD="width: 47"] 7
[/TD]
[TD="width: 47"] 5
[/TD]
[TD="width: 47"] 7

[/TD]
[TD="width: 47"] 40

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 39"] 4
[/TD]
[TD="width: 113"] Simba
[/TD]
[TD="width: 47"] 22
[/TD]
[TD="width: 57"] 9
[/TD]
[TD="width: 47"] 9
[/TD]
[TD="width: 47"] 4
[/TD]
[TD="width: 47"] 11
[/TD]
[TD="width: 47"] 36
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 39"] 5
[/TD]
[TD="width: 113"] Mtibwa Sugar
[/TD]
[TD="width: 47"] 24

[/TD]
[TD="width: 57"] 8
[/TD]
[TD="width: 47"] 9
[/TD]
[TD="width: 47"] 6
[/TD]
[TD="width: 47"] 2
[/TD]
[TD="width: 47"] 36

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 39"] 6
[/TD]
[TD="width: 113"] Coastal Union
[/TD]
[TD="width: 47"] 22
[/TD]
[TD="width: 57"] 8
[/TD]
[TD="width: 47"] 8
[/TD]
[TD="width: 47"] 6
[/TD]
[TD="width: 47"] 3
[/TD]
[TD="width: 47"] 32
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 39"] 7
[/TD]
[TD="width: 113"] Ruvu Shooting
[/TD]
[TD="width: 47"] 22
[/TD]
[TD="width: 57"] 8
[/TD]
[TD="width: 47"] 6
[/TD]
[TD="width: 47"] 8
[/TD]
[TD="width: 47"] 0
[/TD]
[TD="width: 47"] 30
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 39"] 8
[/TD]
[TD="width: 113"] JKT Oljoro
[/TD]
[TD="width: 47"] 24

[/TD]
[TD="width: 57"] 7
[/TD]
[TD="width: 47"] 7
[/TD]
[TD="width: 47"] 9
[/TD]
[TD="width: 47"] -4
[/TD]
[TD="width: 47"] 28
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 39"] 9
[/TD]
[TD="width: 113"] Prisons FC
[/TD]
[TD="width: 47"] 24
[/TD]
[TD="width: 57"] 6
[/TD]
[TD="width: 47"] 8
[/TD]
[TD="width: 47"] 10
[/TD]
[TD="width: 47"] -7
[/TD]
[TD="width: 47"] 26
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 39"] 10
[/TD]
[TD="width: 113"] Mgambo Shooting
[/TD]
[TD="width: 47"] 23

[/TD]
[TD="width: 57"] 7
[/TD]
[TD="width: 47"] 4
[/TD]
[TD="width: 47"] 12
[/TD]
[TD="width: 47"] -7
[/TD]
[TD="width: 47"] 25

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 39"] 11
[/TD]
[TD="width: 113"] Toto African
[/TD]
[TD="width: 47"] 25

[/TD]
[TD="width: 57"] 4
[/TD]
[TD="width: 47"] 10
[/TD]
[TD="width: 47"] 10
[/TD]
[TD="width: 47"] -11
[/TD]
[TD="width: 47"] 22
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 39"] 12
[/TD]
[TD="width: 113"] JKT Ruvu
[/TD]
[TD="width: 47"] 21
[/TD]
[TD="width: 57"] 6
[/TD]
[TD="width: 47"] 4
[/TD]
[TD="width: 47"] 11
[/TD]
[TD="width: 47"] -15
[/TD]
[TD="width: 47"] 22
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 39"] 13
[/TD]
[TD="width: 113"] Police M
[/TD]
[TD="width: 47"] 23
[/TD]
[TD="width: 57"] 3
[/TD]
[TD="width: 47"] 10
[/TD]
[TD="width: 47"] 10
[/TD]
[TD="width: 47"] -10
[/TD]
[TD="width: 47"] 19
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 39"] 14
[/TD]
[TD="width: 113"] African Lyon
[/TD]
[TD="width: 47"] 23
[/TD]
[TD="width: 57"] 5
[/TD]
[TD="width: 47"] 4
[/TD]
[TD="width: 47"] 14
[/TD]
[TD="width: 47"] -19
[/TD]
[TD="width: 47"] 19
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

**TEBO toka TFF [Tanzania Football Federation]
 
nashukuru mkuu kwa masahihisho hizi timu mbili za Ruvu Ruvu huwa zinanichanganya sana,hili jukwaa la michezo ni la kistaarabu sana,ningekuwa jukwaa la siasa people zinge report post yangu ili nipewe ban kwa kukosea kuandika
Ngoja mimi ninunue kesi, nitavamia,hilo jukwaa.
 
Duh! Mtu mzima nilitaka kuumbuka leo. Wagosi waligangamala mpaka ikabidi uzoefu utumike ndo tuambulie angalau hako kapointi kamoja. Lakini bora nusu shari kuliko shari kamili.
 
Yanga kabakiza mechi 3 na zote atachezea nyumbani,ni dhidi ya Coast Union,Ruvu Shooting na wakalia LIBOLO FC(Simba)
tunahitaji point 4 tu kutangaza ubingwa

Ubingwa upo lakini hauji papo kwa papo tuvute subira kidogo tu. Kwani timu ya Ndetichia imebakiza na nani?
 
Hahaha...hili swali kama ukimuuliza Nsa Job Mahenya basi atakueleza kwa kirefu ni timu gani kinara wa kutoa milungula.
Timu yoyote inayocheza kwenye Home ground lazima ikaze...hivyo kutoka sare ugenini si matokeo ya kushangaza

swali toka ligi kuu msimu huu umeanza yanga ajashinda gemu nje ya dar sijui wananunua hizi gemu wakiwa dar sijui mashabiki sijui marefa wa dar sijui nini tu.. Makoye Matale watu8 Fidel80
 
Last edited by a moderator:
Hahaha...hili swali kama ukimuuliza Nsa Job Mahenya basi atakueleza kwa kirefu ni timu gani kinara wa kutoa milungula.
Timu yoyote inayocheza kwenye Home ground lazima ikaze...hivyo kutoka sare ugenini si matokeo ya kushangaza

ahaa kumbe nshajua sasa...
 
Yanga kabakiza mechi 3 na zote atachezea nyumbani,ni dhidi ya Coast Union,Ruvu Shooting na wakalia LIBOLO FC(Simba)
tunahitaji point 4 tu kutangaza ubingwa

Yanga 0 - Coastal 0
Yanga 1 - Shooting 1
Yanga 1 - Simba 3
 
Yanga 0 - Coastal 0
Yanga 1 - Shooting 1
Yanga 1 - Simba 3

Huwezi kuwa haujalewa. Au umetumwa na Ndetichia upime upepo? Yeye tunampongeza kwa kutetea nafasi yake aliyoizoea, nimemuuliza amebakiza kucheza na nani kakwepa swali.
 
Hahaha...hili swali kama ukimuuliza Nsa Job Mahenya basi atakueleza kwa kirefu ni timu gani kinara wa kutoa milungula.
Timu yoyote inayocheza kwenye Home ground lazima ikaze...hivyo kutoka sare ugenini si matokeo ya kushangaza

Coast na Yanga mechi ya kwanza ilichezewa Chamazi? timu ya Temeke inajulikana ameamua tu kujifurahisha.
 
Coast na Yanga mechi ya kwanza ilichezewa Chamazi? timu ya Temeke inajulikana ameamua tu kujifurahisha.

Nami nililiona hilo mkuu....yule ni mtani wangu alikua anajifurahisha tu
 
Huwezi kuwa haujalewa. Au umetumwa na Ndetichia upime upepo? Yeye tunampongeza kwa kutetea nafasi yake aliyoizoea, nimemuuliza amebakiza kucheza na nani kakwepa swali.

heheheheeeee kumbe mnaweza kuukosa ubingwa enhee...
 
Back
Top Bottom