shukran mkuu, kule dullonet kumejaa manazi wa Yanga. Nilishagundua ni uongo ila sikuwa na uhakika lakini kelele za simba sugu wakati cimu inakatika katika nilihisi tumewabanjua hawa jamaa...
Okwi is only 17, na ana future nzuri sana. Ndiyo maana sisi wengine tunakubali kuchangia pesa kila siku through FOS, usajili huu ni mzuri sana, na wa kitaalam zaidi. Kwa age factor na quality, mwaka huu tutafanya maajabu makubwa..!
YY wamekuwa wakitoa pesa ili tufungwe lakini wananshindwa kulipa madeni ya timu yao. KIla mechi, tunacheza na timu zaidi ya 5..! YY lazima bakora zitembee, maana hata marefa wakitoka ikulu lazima wachapwe tu. Timu hii imejengwa kisaikolojia na kimpira, na morali ipo juu sana.