The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,250
Toto 2-1 Simba
kaka upo!? Sijakuona long time sana jamvini! Hawa madogo wa yanga leo watatuabisha!
Toto 2-1 Simba
huleeeee na mpira uishe sasa!Toto 2 na Simba 1...
Seriously???!!!!
wanayanga tuombe simba afunge 10 kabisaaa!Wanasimba tuombe, hali ni mbaya kwa simba kwani tusipo shangaa SIMBA matokeo yatakuwa Toto 4-1 Simba
vp unauza shing' ngapi?huleeeee na mpira uishe sasa!
wanayanga tuombe simba afunge 10 kabisaaa!
Ushindwe....hahahaaahhuleeeee na mpira uishe sasa!
Nipo kijana, mambo mengi tu, si unajua tena, mihangaiko ya hapa na kule. Madogo wa YANGA wanatupelekesha.kaka upo!? Sijakuona long time sana jamvini! Hawa madogo wa yanga leo watatuabisha!
Serious ManSeriously???!!!!
Toto siyo kwamba wana cheza mpira wa kutisha sana ila wanapokutana na simba hukamia sana matokeo yake tusipo jipanga wanaweza kutupiga nyingi...hizi timu za tanzania kama zingekuwa zina cheza mpira mzuri kama zinapokutana na simba au Yanga naamini soka letu lingekuwa juu sana....Hii mechi simba tukijipanga tuna wafunga tu lakini kama tutakaa vibaya 4 zinatuhusu....Simba wakomae tuwachape hao Toto wamalize ubishi
mbwa??? duh
Mkuu kama unaongeleea ushabiki nisibishane na wewe lakini kama unaongelea mpira na historia basi haya yanayotokea hapo Kirumba niliyatarajia na wala siyo kwamba simba imeshuka kiwangochake...Simba miti ya baiskel yake imeanza kuchoka .