Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Kagera nasikia wamesawazisha kwa penati, mpira unaendelea
 
Mie nadhani umefika wakati sasa tuachane na u-simba na u-yanga kwa maendeleo ya soka letu......miaka 50 tunao hawa jamaa na wameganda kwenye akili zetu kama nini lakini hakuna maendeleo...mie mpenzi wa SIMBA, lakini nategemea hata KANDAMBILI wataniunga mkono tuachane na hizi presha za bure na tu- focus katika maendeleo ya kweli katika soka letu.....TUJIVUE GAMBA!!!!
 
P kazi, leo najiuzulu ushabiki kwa muda mpaka arsenal na yanga watakapo fufuka. najivua gamba rasmi
 
Kamugisha: umechukua hatua nzuri sana aisee, kujivua gamba ndicho kitu cha msingi: Yanga na Arsenal kuzishabikia ni kujitafutia ugonjwa wa Moyo.
 
mechi za leo ni
Yanga na Villa Squad - Chamazi
Toto African na Simba SC - CCM Kirumba
Coastal Union na Azam FC - Mkwakwani
 
Tunasubiria hiyo mitanange:
...Chamanzi-Patakalika?,
...Kirumba-Lazima Kieleweke!
...Mkwakwani-Kutunisha Msuli
 
Tunasubiria hiyo mitanange:
...Chamanzi-Patakalika?,
...Kirumba-Lazima Kieleweke!
...Mkwakwani-Kutunisha Msuli
Chamazi upepo unaonyesha Yebo yebo atanawili na hapo Kirumba kazi ipo kuliko unavyoweza kufikilia..ngoja tusubiri dakika 90..
 
Back
Top Bottom