Hebu andika vizuri, mechi ipi na mfungaji nani
hebu andika vizuri, mechi ipi na mfungaji nani
kutoka Sokoine,
MCC 0-1 Azam FC
Nani kafung goli?
mwaka wa shetani huu
watu waliniambia apo juu kwamba wapo sokoine tu
Dk 45 azam1-0mcc
Mwaikimba kawatungua ndugu zake...
Mkuu wameweza ila uchezeshaji mbovu an apa uwanjanikila la kheri Azam Fc. Mmeleza changamoto katika ligi MCC subirini msimu ujao.
Mbona inavyoonekana kama watu wa mbeya mmekubali hii gemu mfungwe tu! au kuna kitu kimejifinya kati yenu na azam?