Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Kama ndio rushwa mpira wa kibongo hautaendelea vyeema
 
Mvua inanyesha wachezaji wanaingia uwanjani kuanza ngwe ya pili..ila huyu refaree ni majanga kwenye uamuzi wake.
 
Huyu refa mnayemlalamikia kafanyaje?

Hebu wekeni sawa maelezo yenu.
 
Mkuu wameweza ila uchezeshaji mbovu an apa uwanjani

Hongera zao mkuu siyo siri binafsi napenda sana msimu ujao Mcc wakomae zaidi ili waondoe huu ukiritimba wa Usimba na uyanga na kwa msimu huu wishez zangu ni kwa Azam.
 
Back
Top Bottom