Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Yaani pale mbele kuna kipre,boko haram,na mwaikimbanho halafu pasi za hatari toka kwa sure boy yaani haponi mtu wala mmasai.

Walioko benchi ni wazuri kuliko wanaoanza!
 
10153210_720637831289736_1324106591_n.jpg
Kaunda Stadium.. nyumbani kwa wazee wa Antalya/Uturuki.
Chamazi, Azam kweli wana viwango vya kuwa mabingwa.
 
Azam hatoki leo hapa sokoine sisi sio timu ya watu kujitangazia ubingwa labda msubiri mjitangazie kwa jkt ruvu
 
Back
Top Bottom