Sangomwile
JF-Expert Member
- Aug 17, 2012
- 3,227
- 1,104
Yanga wanapata kona,kipa anadaka.
dk 41, kipindi cha 2;
JKT RUVU 1-5 YANGA
Nipo tu naangalia mlivyomuokota kibonde huyo najua kwa furaha uliyonayo leo nitapata bila shida maana wiki iliyopita ulinibania eti kisa mgamboKwani JKT Ruvu hapo uwanjani mmeaimama wakati Yanga tunacheza? Hahaaaaaaa, wewe Daudi1 umekimbia wewe nilijua tu.
Ligi hovyo hovyo .. sasa ni mashindano ya pochi la Manji vs la Bakhressa ...
Wachezaji wenye sifa ya kuchezea yanga wliopo kikosini kwa sasa ni 15 tuu!hi ni kauli ya kocha mkuu wa Yanga.
subiri tukikutana Loga ndo mtambua.Kama Loga alivyouza mechi yenu ya juzi cjui ili akawe nani sasa,labda Kocha wa Academy
Hahahahahaha.
Chezeya pesa ya Azam cola weye eeeh!