Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Kutoka kwa mdau wa soka.. LKT fb group..

Kumbe Yanga akifungwa leo na Kagera sukari na Azam fc akimfunga Ruvu Shooting ligi ndio itakua ishapata bingwa mpya wa 2013/14 ambao ni Azam fc...........................ooooppsnimesahau kumbe bado kuna zile points 3 za mezani zinapangiwa muda muafaka wa hukumu kama ilivyomtokea MWADUI ya Julio................heheheheheh
 
Hawa washehereshaji wa Leo wa Azam TV wote wanatamani Azam awe bingwa
 
hali si shwari mabatini mvua inanyesha sana na uwanja umejaa maji..
 

Attachments

  • No title(9).jpg
    No title(9).jpg
    20.9 KB · Views: 335
mbona leo wadau hawana mshawasha? wapi Makoye Matale, Revocatus Kashaga, Okwi,Boban,Sunzu na wadau wengine?
 
Dah mabatini gemu inaweza hailishwa na sisi yanga hatukubalii zote zipgwe maji tunazoa
 
Back
Top Bottom