Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Yanga
1;ida
2;juma abdul
3;oscar joshua
4;cannavaro
5;twite
6;domayo
7;msuva
8;dilunga
9;kavumbagu
10;ngassa
11;kiiza
sub;
barthez,telela, job, zahiri,thabit, javu, tegete
 
Jkt bure kabisa haw!! Azam bingwa lakini mjue hilo.
Arsenal wamekalia cha 3
 
Matokeo ya viwanja vingine yakoje au akuna wa kuripot kupitia JF.
 
Safi Yanga,wakuu naomba frequence za radio inayotangaza kwa hapa Dar.
 
Naona hao Everton wanajitahidi kuwaiga Yanga,wakifunga 2 na wao wanafunga 2,3 na wao 3
 
Kipindi cha II

DK 4

Ngassa anapata bao la 4
 
Kila ninapoangalia kiwango cha Yanga hasa inapocheza Taifa nashindwa kuelewa yale matokeo ya Tanga yalikujaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…