Leo ni Simba na Polisi Tanzania, kama simba atafanikiwa kuifunga timu ya Polisi basi ataongoza ligi baada ya mtani wake jana kutoa sare na kuambulia pointi 1 na mpaka sasa anaongoza ligi kwa tofauti ya pointi 2 na amecheza michezo miwili zaidi.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.