Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
mpira wa afc na ruvu umemalizika kwa afc kuondoka na point zote 3 na goli moja
 
Mpira wa Yanga na Maji Maji umemalizika kwa timu zote kugawana pointi moja moja baada ya kutoka sare ya bila kufungana...
 
IMG_1946.JPG
IMG_1949.JPG
 
Naona ndala na mambo yanazidi kuwaendea mrama kila kukicha
 
Leo ni Simba na Polisi Tanzania, kama simba atafanikiwa kuifunga timu ya Polisi basi ataongoza ligi baada ya mtani wake jana kutoa sare na kuambulia pointi 1 na mpaka sasa anaongoza ligi kwa tofauti ya pointi 2 na amecheza michezo miwili zaidi.....
 
mpaka mwisho wa mchezo: African lyon 2 na JKT Ruvu 1..
 
Mtibwa Sugar 0 na JKT Ruvu 0
Polisi Tanzania 1 na Ruvu Shooting 0
AFC 1 na Maji Maji 0
 
Azam FC 0 na JKT Ruvu 0

Toto Africa 0 na AFC 0

Polisi Tanzania 1 na Maji Maji 0
 
Polisi wana pata goli la pila na ndani ya dakika Majimaji wana sawaziisha goli
Polisi 2 na majimaji 2
 

Attachments

  • msimamo21022011.jpg
    msimamo21022011.jpg
    24.2 KB · Views: 31
Back
Top Bottom