ingawa naichukia yanga lakini si kwa kushindwa kutangaza magoli yake tatizo ni mgao wa umeme....na nilijua yanga itashinda zaidi ya goli tano angalia hapo juu...AFC ni timu yangu lakini inacheza kama timu ya daraja la nne....pengine yanga kama wange kuwa vizuri nje na ndani ya uwanja mimi na kwambia ungeshanga magoli ambayo AFC ingefungwa...
labda siyo mfatiliaji wa jukwaa la michezo ya kibongo huwa nipo sana mkuu...Ivunga bwana! Heheheheh nadhani na wewe unatamani Simba wafunge mtu 6 . . . .teh teh teh. Anyway kuanzia mechi za wabrazil, mapinduzi cup kurudi nyuma kote huko Crashwise hakutangaza kabisa magoli, so siwezi kumuuliza chochote.
ngasa anawanyanyu mashabiki wa azam, azam 2 simba 1
mpira ni mapumzikaMkuu endelea kutujuza, Dakika ya ngapi sasa hivi?
Thankx mkuu, ninependa kuona siku utawala wa Yanga na simba Tanzania unatokomea kama utawala wa KANU pale Kenya au CCM hapa TZmpira ni mapumzika
huku Simba 1 na Azam 2
mimi ni mpenzi wa wa timu hizi, hivyo nitahuzunika sana kama simba itapoteza mechi hiiThankx mkuu, ninependa kuona siku utawala wa Yanga na simba Tanzania unatokomea kama utawala wa KANU pale Kenya au CCM hapa TZ