Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Manager Wa uwanja yuko hapa anapiga kilaji wala hajui kama anahitajika huko ndani.
 
Hatuna mpinzani baada ya Mtani kujichokea, ligi haina utamu tena.
quote_icon.png
By Masuke
Toka timu kiboko ya waarabu aka mnyama mkali Simba sports club ipate misuko suko na kuwa dhoofu hali sasa ligi imepoteza mvuto.
Kama nilivyosema mimi, wengine wakasema bado ligi ina mvuto eti.
 
Kila mtu anayepita humu abonyeze kitufe cha report ili tuwaambie mods warudishe uzi kule.

Wengine wampm mods anazingua

mwantika anapanda juu ya goli kufunga nyavu iliyotoboka!

Vituko juu ya vituko!

Ndala watakaa tu na jangwani kutakua kimyaaaaa!!
 
Kona kuelekea Yanga!

Kaseja anatoa hapa,kona nyingine.

Mcha anatoka anaingia jezi namba 7 sijampata jina lale.
 
Kona kuelekea Yanga!

Kaseja anatoa hapa,kona nyingine.

Mcha anatoka anaingia jezi namba 7 Kelvin ambaye anashndwa kuweka mpira kunyavu
 
Back
Top Bottom