Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Asanteni sana Deo Corleone, ndetichia kwa updates nzuri sana mi nawatakia Azam ushindi wa mabao 2 kwa moja. Yanga warudi jangwani wakaandamane kudai uwanja.
 
Last edited by a moderator:
Mods sijui kwa nini meunganisha thread ya mwanzo huku...

Hii sticky thread ingeachwa kwa taarifa muhimu tu za muenendo wa VPL...
 
Mods sijui kwa nini meunganisha thread ya mwanzo huku...

Hii sticky thread ingeachwa kwa taarifa muhimu tu za muenendo wa VPL...
Mods sijui vipi yaani nimehangaika kuipata ile thread kumbe waliunganisha.
 
Mods sijui kwa nini meunganisha thread ya mwanzo huku...

Hii sticky thread ingeachwa kwa taarifa muhimu tu za muenendo wa VPL...

Huyu mod atakuwa wa siasa huyu!!

Watu hawatoona updates huku!!
Arudishe uzi kule kule
 
Ndo maana tuliwakataa hawa Ma'----- yaani katika matukio yoote wameona tukio la kuonyesha kwenye highlights nzima ni hilo goli lao la faulo tu?
 
Mods, hivi kuna tatizo gani mkiacha thread ya Live updates then mkaunganisha na hii??....

Mbona mechi za EPL huwa zina thread za Live updates kisha zinaunganishwa na thread mama baada ya mechi.....

Aaaaargh!
 
Back
Top Bottom