TASK FORCE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 2,466
- 3,456
Akiwi chochote, ,Sijui akirudi nyumbani itakuwaje tu....
Akiwi chochote, ,Sijui akirudi nyumbani itakuwaje tu....
Mimi naamini "wasiojulikana hao" baada ya kufeli hiyo kazi, kama hawajarestishwa in hell na mabosi wao (ambao dunia nzima inawajua tu na sasa wanamtafuta mbuzi wa kafara) basi hawana muda mrefu wa kuendelea kupumua...Aliyetumwa kufanya hiyo kazi,, ,,,, Nina amini anaumwa.........
Lakini pia ninawaza tu,...kama haumwi,, labda jamaa hakupeda kuumua ......ila alifanya vile kulidhisha aliye mtuma...ninawaza tu.
Amina.Mwenyezi Mungu amruzuku afya njema shujaa pekee (Tundu Lissu) anayethubutu kupambana na Dikteta mchana kweupe
Narudia tena KIKI. eti kumwona hadi uwe na password. Tutasikia mengi sana kwenye hili tukio.Bado mtakuja na scanner zawekwa kabla ya kuingia kumwona LISU. NI NYUMBU TU ataangaika na hizi propaganda. Vipi ulaya anapelekwa lini?Upo kwenye period sio?
Narudia tena KIKI. eti kumwona hadi uwe na password. Tutasikia mengi sana kwenye hili tukio.Bado mtakuja na scanner zawekwa kabla ya kuingia kumwona LISU. NI NYUMBU TU ataangaika na hizi propaganda. Vipi ulaya anapelekwa lini?
Hata jimboni kwake Singida wataweka password??
Ni aliyelewa madawa ya mwenyekiti tu ,ndio ataamini huu ulofa
MBONA WANACCM MNACHUKIA SANA MKISIKIA KUWA LISSU ANAPATA ULINZI WA KUTOSHANarudia tena KIKI. eti kumwona hadi uwe na password. Tutasikia mengi sana kwenye hili tukio.Bado mtakuja na scanner zawekwa kabla ya kuingia kumwona LISU. NI NYUMBU TU ataangaika na hizi propaganda. Vipi ulaya anapelekwa lini?
Lengo halikuwa kumpeleka Ulaya au kutumia passwords. Lengo lilikuwa ni kumwondolea uhai wake. Sasa kwa kuwa Mungu kazuia hilo lisitokee hadi muda huu, yakupasa utulie maana Tundu mwenyewe anasema "Tumeshinda Tumeshashinda".Narudia tena KIKI. eti kumwona hadi uwe na password. Tutasikia mengi sana kwenye hili tukio.Bado mtakuja na scanner zawekwa kabla ya kuingia kumwona LISU. NI NYUMBU TU ataangaika na hizi propaganda. Vipi ulaya anapelekwa lini?
Mhusika lazma achukie mana kila wakilala wanaota wanafyatua risasiMBONA WANACCM MNACHUKIA SANA MKISIKIA KUWA LISSU ANAPATA ULINZI WA KUTOSHA