nasubiri kusikia toka kwa huyo kocha wao anaye ongea sana na huyo mchezaji (tambwe) wao anayeongea kama kazi yake kuongea!ushindi wa simba ugenin drooo
mkuu ya tatu umewapendelea sana hao yao ya nne!Mwaka wasipokaa vizuri wataishia nafasi ya tatu...
Nimeponaaaaaaaaaaaaaa!!
ft: Mbeya city 1-1 simbamkuu masuke, asante kwa updates.
Tiba
Nimeponaaaaaaaaaaaaaa!!
Nimeponaaaaaaaaaaaaaa!!
Umesema kweli mkuu.nasubiri kusikia toka kwa huyo kocha wao anaye ongea sana na huyo mchezaji (tambwe) wao anayeongea kama kazi yake kuongea!
Nilikua serious.Haaa haaa haaaaa,teeehe heeee mkuu ulijifanya hamnazo kuishabikia Simba!
Nimeponaaaaaaaaaaaaaa!!
Ahsante mkuu watu8 na walah nimekoma sirudii huu upuuzi ata wanipe laki.Karibu nyumbani huko kwa watani utakufa kwa presha bure....