Updates mpambano wa Mbeya city na Simba

Updates mpambano wa Mbeya city na Simba

nasubiri kusikia toka kwa huyo kocha wao anaye ongea sana na huyo mchezaji (tambwe) wao anayeongea kama kazi yake kuongea!

mchovu tu na yy, yaani pale huyo logwalogwa, matambwe, na huyo mcheza mieleka mkenya wanajifanya wanaujuaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Yani mkuu mwenyewe sijui kilichokua kimenipata tangu juzi,nahisi nilikua nimerogwa.Maana unatakiwa kuwa na akili ya mwendawazi kuishabikia Simba aise lol.

Mkuu nilikuwa na huzuni sana kukupoteza milele. Nilikuwa natafuta maneno ya kukuombea msamaha. Endapo mikia wangelambwa ningeandika hivi:

'Mkuu Invisible msamehe Mkuu mandieta maana ametenda kwa kutokujua alitendalo'.

Nadhani ungesamehewa.
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana, karibu nyumbani.
Mkuu Ahsante sana.Alafu MCC walivyotupia tu, Invisible akanitumia PM eti nimrushie 20,000 ili anipoteze nisile ban endapo matokeo yangebaki vilevile.
Nikamwambia kausha usinizingue maana sina wazo ata lakukupa 'jero'
Nilivyomjibu hivyo akaniambia eti nianze kuaga maana game ikiisha tu atakua kama malaika mtoa roho yani hatanichelewesha,nikamwambia poa tu maana mtu mzima atishiwi nyau bhana,nilivyoona ngoma inayoyoma na 'mkia' bado kapakatwa si ndio nikaanza kuaga sasa?ila nimekoma babake.
 
Last edited by a moderator:
Mjii umepoa mbwembwe hamna kama mcc tumefungwa vile
 
Mkuu Ahsante sana.Alafu MCC walivyotupia tu, Invisible akanitumia PM eti nimrushie 20,000 ili anipoteze nisile ban endapo matokeo yangebaki vilevile.
Nikamwambia kausha usinizingue maana sina wazo ata lakukupa 'jero'
Nilivyomjibu hivyo akaniambia eti nianze kuaga maana game ikiisha tu atakua kama malaika mtoa roho yani hatanichelewesha,nikamwambia poa tu maana mtu mzima atishiwi nyau bhana,nilivyoona ngoma inayoyoma na 'mkia' bado kapakatwa si ndio nikaanza kuaga sasa?ila nimekoma babake.

Eti 20buku, hii nini, sio Ulimboka?
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaha,nimejua unachotaka kusema,sasa sikujibu.

ha,ha,haa,haaaaa! kumbe!!!! duh pole sana mambo shwari ss! ila siku nyingine usijiapize mbele zake ha,haa,haaaaa! welcome back to earth bro!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom