- Thread starter
- #561
Kweli wamejitaidi
mkuu leo simba waliwazidi sana mcc, basi tu imeptkana sare.
mkuu leo simba waliwazidi sana mcc, basi tu imeptkana sare.
View attachment 139390duuu nahisi Invisible ni simba alivotoa like kwa masuke ni noma..
Umeona eeeh!
Mkuu Ahsante sana.Alafu MCC walivyotupia tu, Invisible akanitumia PM eti nimrushie 20,000 ili anipoteze nisile ban endapo matokeo yangebaki vilevile.
Nikamwambia kausha usinizingue maana sina wazo ata lakukupa 'jero'
Nilivyomjibu hivyo akaniambia eti nianze kuaga maana game ikiisha tu atakua kama malaika mtoa roho yani hatanichelewesha,nikamwambia poa tu maana mtu mzima atishiwi nyau bhana,nilivyoona ngoma inayoyoma na 'mkia' bado kapakatwa si ndio nikaanza kuaga sasa?ila nimekoma babake.
Ni kweli kiongozi, Mbeya City ilikuwa ishinde mechi hii, ila basi tu!!!Hii Mechi Tulitakiwa Tushinde Lakin Haikuwa Bahati Yetu
Hapana ndg yangu MCC wako vizuri, ila leo haikuwa bahati yao kushinda, timu ys simba ni maarufu kwa jina sio mpira. Timu kubwa hizi huwa zinacheza mechi njae ya uwanja, zikikitana na timu kama MCC ambayao haichezi mechi nje ya uwanja, matokeo kama haya ya leo ni commonmkuu leo simba waliwazidi sana mcc, basi tu imeptkana sare.
Hahahahahaha!naona unausemea moyo wa Invisible au siyo.hahaa naona furaha ya kuachiwa uhai wake maana pozi la invisible kuomba 20 lol
Hapa mbeya hali ya hewa ni nzuri ikiambata na kiubaridi.
Kiukweli mechi hii haina msisimko tofauti na ile ya mbeya city na yanga,.
Mji bado umepoa na simba wakiwa bado wamejificha kusikojulika hata apa sokoine uwanjani kupasha misuli hawapo..
Ila uwanja wa sokoine upo vizuri na bado unapambwa.
Nani ni nani itajulikana kesho
![]()
![]()
HT= mbeya city1 -simba0
-kipindi cha pili kinaanza
-simba1- mcc1
dk25 mcc1-simba1
-dk32 mcc1-simba1
simba wanapata kona apa wanakosa
-Full time mcc1- simba1
Simba nilitamani wapakwatwe vile vile tu
Kumbe wewe ni mpinzani eeeh!subiri tuwapige 3
... Wakati tunajiandaa kuwameng'enya wavuvi wa Comorro hapo kesho kwa goli 3-0 (hatutawapiga nyingi kwa sababu za Kidiplomasia na za Haki za Kibinadamu); hebu tupienimo msimamo wa Ligi baada ya hivi vimechi vya wachovu vs waporipori!