View attachment 139363
Hii timu inaamsha mshawasha wa soka la Tanzania
Simba fanyeni kweli maana mie nshaomba ban ya maisha huku.
Mpira ni mzuri sana apa mbeya
Ni mimi!
Sauti ya YAKOBO, Mikono ya EsauYanga hoyeeeeee!!! Mbeya city lazima tushinde kesho.
mkuu una maana jama atasave kupigwa ban ya maisha!wala usihofu matokeo mwisho wa siku ni ushindi kwa simba.
Gooooal!!....Oops..naota!
mkuu una maana jama atasave kupigwa ban ya maisha!
Mambo hayo, yameanza.
Penaaaaaatiiii