issa ramadhani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 1,319
- 260
Safari ni ndefu na ngumu lakini dalili za kufika ni kubwa!
mtasubiri sana,chama masikini hakiwezi tawala nchi.vikao vyenu hata togwa hamuwezi kuwagawia watu.wenzenu tunakula bata tu huku.
Safari ni ndefu na ngumu lakini dalili za kufika ni kubwa!
magamba yanatetemeka kila kona... hapo kwenye red brigade wajitahidi kuwaajiri wale waliohitimU JKT ili wasaidie kuwakabili raia wakakamavu wa ccm
Nashukuru leo kwa kukiri kua ccm ndio inawapa vijana viroba na gongomtasubiri sana,chama masikini hakiwezi tawala nchi.vikao vyenu hata togwa hamuwezi kuwagawia watu.wenzenu tunakula bata tu huku.
chadema ni mpango wa Mungu!
nitakuja viwanja vya furahisha kwa garama zangu sio kusombwa na lori kama kifusi
delete futa kabisa ccm
hiyo kanda ndo inayoaamua nani anakuwa rais wa nchi hivyo juhudi kubwa zinahitajika
mtasubiri sana,chama masikini hakiwezi tawala nchi.vikao vyenu hata togwa hamuwezi kuwagawia watu.wenzenu tunakula bata tu huku.
Taarifa ioneshe siku na tarehe badala ya neno "leo" au "kesho"
kwa uzoefu wangu kuanzia bukoba,geita,mwanza sina shaka chadema inakubalika sana wapo tayari kwa lolote
mkuu ccm wakisikia mbowe yuko kanda ya ziwa matumbo yote joto ngoja kesho unaweza sikia polisccm wakasema kutokana na taarifa za kiitentelijensia tumeona mkutano usifanyike kutokana na ndege iliyoaanguka janaNdio tumeanza kazi Kamanda shaka ondoa
Wenzako wako kwenye list yakuvua magamba mpaka baba yakoKwa hiyo tunakubaliana ni mpango wa Mungu chadema kuwa chama cha upinzani cha kudumu?
Kwa hiyo tunakubaliana ni mpango wa Mungu chadema kuwa chama cha upinzani cha kudumu?
mkuu ccm wakisikia mbowe yuko kanda ya ziwa matumbo yote joto ngoja kesho unaweza sikia polisccm wakasema kutokana na taarifa za kiitentelijensia tumeona mkutano usifanyike kutokana na ndege iliyoaanguka jana
magamba yanatetemeka kila kona... hapo kwenye red brigade wajitahidi kuwaajiri wale waliohitimU JKT ili wasaidie kuwakabili raia wakakamavu wa ccm
Huu mwaka wetu tu....
subiri October uone mtakavyopukutika...
Noted mkuu:Ngoja niweke oda ya Kisamvu,Nsasa,Shihele,Bugali wa budaga na,na bukila na mabele masuke/maliboto na mlenda