Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,959
- 876
Hamjafika Ruvuma mnatutia simanzi sana. Kwanini hamfiki huku tangu mchaguliwe. Kila kukicha mwanza,kilimanjaro,dodoma,dar,shinyanga na mbeya tu jamani.
Hamjafika Ruvuma mnatutia simanzi sana. Kwanini hamfiki huku tangu mchaguliwe. Kila kukicha mwanza,kilimanjaro,dodoma,dar,shinyanga na mbeya tu jamani.
Hamjafika Ruvuma mnatutia simanzi sana. Kwanini hamfiki huku tangu mchaguliwe. Kila kukicha mwanza,kilimanjaro,dodoma,dar,shinyanga na mbeya tu jamani.
Mpeleke Mbowe akapate lunch ya natural food hapo Nyanguli Pub.
Kwa Nyanguli palishafungwa siku nyingi labda waende Malikusema pale watapata chukuchuku ya kuku fresh wa kienyeji na ugali wa dona uliochanganywa na udaga, wakishatoka hapo ni kupiga kazi mpaka kieleweke.
Kamanda nakuona.Mimi nimewapenda hawa makamanda, yani wale polisi wakurusha mabomu lazima wake mbali na Chadema safari hii.
![]()
Kamanda nakuona.
![]()
Hizi Fuso za Mbowe aliowauzia Chadema zimeshakufa zote.
![]()
unakula bata halafu usiku unapumuliwa kisogoni unaona raha!? hukumbuki ndugu zako vijijini...
Board guard wake Mbowe nilimuona yuko makini kakauka huku akiwa na macho ya Kinyonga( rotation 360') utadhani ni CIA au FBI
ruvuma kuna chadema?