Updates: Mbowe ndani ya Kanda ya Ziwa Victoria

Updates: Mbowe ndani ya Kanda ya Ziwa Victoria

Cdm ccm cuf nccr. Wote hawana.jipya. Ni matumbo yao viongozi tu. Wapiga kura tazameni wapi channel ya kupata riziki ndipo hapo hapo.
 
mtasubiri sana,chama masikini hakiwezi tawala nchi.vikao vyenu hata togwa hamuwezi kuwagawia watu.wenzenu tunakula bata tu huku.
Penye nia njema pana njia pia.
Kwani huoni wale wenye nguvu waliowaombea wenzao 'wasio na uwezo' mauti wametangulia mbele ya haki kabla!?

 
Magambas tusipoamini katika vyama vya siasa tuamini nini ama tukuamini wewe? Maisha yakawaida huwezi kuepuka vyama coz ndo utaratibu popote Duniani wa kiutawala.
 
Back
Top Bottom