UPDATES: Kikao Cha Waziri Mkuu na Madaktari CPL (Central Pathology Laboratory)

Use.nge. mtupu unaongea na mtu aliyekufukuza kazi ili iweje? kwanza hao wanaojiita mawaziri wa afya wanafanya nini hapo agenda ya kwanza ingetakiwa kufukuzwa kwa watendaji wooote wa wizara ya afya pamoja na waziri mkuu...then kikao ndio kianze lasivyo ni up.uuzi tu. ulimboka ndio anatakiwa kuwa waziri wa afya
 
Jackbauer, maji waliyopewa madaktari, haswa viongozi wa jumuia wameyakataa, wameletewa mengine na Rais wa chama cha madaktari. Hiyo ndiyo sababu ya utofauti wa Kilimanjaro na Uhai.

Serikali inatakiwa itafakari vizuri hili tukio. Hii nchi tulikuwa tunaitana ndungu lakini leo wananchi hawana imani tena na viongozi wao kiasi kwamba hawataki hata kunywa maji yenye mkono wa serikali! Hapa ndipo wakubwa wameifikisha Tanzania. Very sad!
 
Huyu si alisema wasiporudi kazi ile siku aliyotoa oda wengekuwa wajifukuza kazi?anatakujadili nao nini?serikali legelege zina mambo.
 
Ina kuwaje PM ha'comply na muda uliopangwa?...BADO anarudiarudia kusoma paper waliyomwandalia wasidizi wa Ikulu nini!
Usikute Jamaa amekataa kwenda hapo ukumbini kwa madai ya kudhalilishwa na wakubwa wenzie!
 
Hujui unaongea nini?

Kuna kupeleka cases lakin kuna matibabu. Lugalo wana clinics za hao super specialist ambao wanatoka muhimbili kwenda Lugalo. Na vile vile muhimbili waachukua madaktari Lugalo kuja kuattend clinics mbalimbali hapo.

Lakin sifikirii hata siku moja mgonjwa akaamishwa lugalo kuhamishiwa muhimbili kwa matibabu zaidi. Ninavyojua akitoka Lugalo basi ni nje ya nchi.

naomba ulichunguze hilo.


Ndugu yangu Barubaru, ni kweli Jeshi lina madaktari wazuri, ila si kwenye fani zote. Kumbuka fani ya udaktari ni pana sana. Ni kweli kuna baadhi ya cases zikishindikana Lugalo labda referal ni nje ya nchi, lakini vilevile Kuna cases nyingi ambazo hata Lugalo inabidi wapeleke Muhimbili. Jeshi lina fani zake muhimu ambazo imejidhatiti kulingana na shughuli zao. Pia utambue hata Muhimbili kuna mapungufu kwa baadhi ya fani, lakini Muhimbili bado wanamabingwa kwenye fani nyingi kuliko Jeshini. Chamsingi tusiweke ushabiki wa kisiasa kwenye hii fani, inabidi ufanye tafiti kwanza kabla ya kuanza kutoa taarifa zako.
 
Kwa watu wadilifu leo ndio ingekuwa siku ya Pinda kujiuzulu...!
nI TUKIO TAKRIBAN LA TATU SASA HUYU MTU ANACHEZEWA SHARUBU, HUKU AMETULIA TU!
 
Tusibiri kauli ya pili ya Mtoto wa Mkulima, huyu jamaa wakati anachaguliwa kuwa Waziri Mkuu nilikuwa na imani nae kumbe hamna kitu.
 
pinda apigiwa makofi pamoja na kuchelewa kufika,,,,,,,sijui ina maana gani hii
 
What is going on?
yani anachelewa kwa almost 45min? yeye si anapita kwa road clearance? sasa anachelewa nini?
 
Ameshaingia ukumbini, ila amekuja na lundo la wanasiasa, mkuu wa mkoa ndio ameanza kuongea,..watu wako calm
 
Ameshaingia ukumbini, ila amekuja na lundo la wanasiasa, mkuu wa mkoa ndio ameanza kuongea,..watu wako calm
Analeta protokali kwenye matatizo?
Huyo Mkuu wa mkoa hyo, jana alikuwa anatetemeka pale Temeke hospital!!!!\Hovyo kabisa!!
 
Back
Top Bottom