UPDATES: Kikao Cha Waziri Mkuu na Madaktari CPL (Central Pathology Laboratory)

Mimi nashauri ni lazima waTz murejee katika mila na desturi zenu na kuachana na hizo za kizungu.

Nakumbuka toka zamani kulikuwa na kuto kuelewana kunakoweza kutokea katika jamii mbali mbali mfano wakti nipo Chuo kikuu UDSM tulikuwa tuna mogogoro mara kwa mara na chuo au na Serikali. Lakin mila zenu ilikuwa wanafunzi woote mnakusanyika pale Nkuruma hall na viongozi wanakuja na kukaa kitako kuanza kujadili matatizo yenu mpaka mnafikia kukubaliana na baadae mnarudi darasani.

Siku zote viongozi walikuwa wepesi kufika na kuongea na wanafunzi na kutatua migogoro kwa njia ya majadiliano mezani na sio kuandamana.

naona sasa utamaduni huu huko Tz umepotea kabisa. Viongozi wanajiona ni miungu watu hawataki kabisa kuwasikiliza wanaowaongoza na kupenda kutumia ubabe katika kutatua migogoro.

hakika ubabe na ubinafsi ni sumu sana katika uongozi. Kiongozi kumbuka bila kuwa na unaowaongoza wewe huwezi kuwa kiongozi. Na mnaongozwa acheni lugha za kebehi na kashfa kwa viongozi wenu. Hishma ni muhimu sana na utii wa sharia zenu mlizojitungia.

Nawasihi tena waTz rudini kwenye mila na desturi zenu za kukaa kitako na kujadili matatizo yenu mezani na sio kwa kuandamana na kutusiana.

Loh naifananisha Barza ya JF sawa na Mzee Punch wa Udsm enzi hizo.
 
Labda tu nikujuze kidogo.

Kumbuka kuwa duniani kooote hospital za jeshi ndio hospital kuu na mara zote zinakuwa na kila kitu na wataalamu wengi sana na wenye uwezo mkubwa na zinakuwa ni za rufaa. Hata viongozi wa nchi wakiumwa mara zote wanatibiwa katika hospital za kijeshi kutokana na usalama na weledi wa maDr wao.

Nakumbuka hata Tz , Jeshi lilisomesha sana madaktari wake enzi hizo na kuiimarisha hospital yao ya lugalo.

Pasi na shaka yoyote huko Tz lugalo ni hospital ya rufaa pia kijeshi. Hakuna mtu anayeweza kupewa uhamisho toka lugalo kwenda muhimbili kwa matibabu zaidi.

Hata mgomo wa 2003 wa madaktari hao hao wa Lugalo walishika muhimbili na kuiendesha mpaka mgogoro ulipoisha

Chunguza hilo.



Barubaru Lugalo ni cha mtoto kwa Muhimbili achana na story za bibi!. Na kwa taarifa yako watu wameamua kuwasitiri hawa madaktari wa jeshi, lakini ukweli ni kwamba hawajui wafanye nini na zile machine za Muhimbili. Wamezoea kwata za kijeshi Muhimbili ni tofauti sana ndio maana siku ya pili tu wauguzi waliingia kwenye mgomo maana walichoka kufanya kazi na watu wasiojua wabonyeze wapi au wazime nini! Na tayari wameshaharibu machine. Hiyo ndiyo hali hali ndugu.
 
UNAOTA?
Unajua Lugalo wanapeleka cases Muhimbili?
Unachotaka kusema ni nini? Kwamba wanajeshi walisaidia kutibu pale madaktari waligoma!?Unajua kwa mfano madaktari wa jeshi walipoenda Muhimbili, waliingia na jeuri ya amri za kijeshi, manesi waliwadindia maana hawajazoea amri bali majadiliano na kushauriana na madaktari (consultations). Ndi sababu pia kwanini madaktari wa jeshi walishindwa.
huyo barubaru achana naye
toka lini madaktari wa jeshi wakawazidi madaktari wa Muhimbili???
hiyo LUGALO kuna madaktari kibao ambao ni raia wasio wanajeshi ninaowafaham
 
meza kuu ina maji ya kilimanjaro !! madaktari na maji ya uhai kweli utofauti bado upo!!!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
mimi ningekuwa pinda ningejiuzulu maana haina maana kutoa tamko halafu lisitekelezwe then uende uwaombe wewe kukutana nao,, hakika we have a very pathetic PM
 
Asipoondolewa Blandina Nyoni na Deo Mtasiwa mutakuwa munatwanga maji kwenye kinu. Saa hizi wenzenu wako kwenye mchakato wa wa kuingiza kitendanishi kingine cha kupimia VVU kwa njia za kifisadi baada ya kukisimamisha kile cha SD Bioline.
 
si alisema analeta madaktari wa jeshi huyu kinachomuwasha kuja kuongea nao ni nini?zee zima ovyooo
Na alitumia ubabe eti anawafuta kazi. Sasa ananyenyekea anataka kuongea nao nini? P****f sana uyu jamaa. Anacheza na fani za watu. Wanajeshi wake wako wapi alojifanya anawaleta kukava nafasi ya madaktari. F**la sana huyu bwana
 
wasikubali kuongea kama wale wapuuzi 4 wa wizara ya afya bado wako madarakani
 
Vipi bana.............mbona unaharaka sana!!!
Hebu angalia hizi sura hapa!!!
Anne Makinda(3).jpg

pm.jpg

hivi hawa jamaa wawili ni ndugu? mbona wanafanana sana na je kisayansi sura ya mtu haina reflection na usafi wa moyo wake?
 
Mimi nashauri ni lazima waTz murejee katika mila na desturi zenu na kuachana na hizo za kizungu.

Nakumbuka toka zamani kulikuwa na kuto kuelewana kunakoweza kutokea katika jamii mbali mbali mfano wakti nipo Chuo kikuu UDSM tulikuwa tuna mogogoro mara kwa mara na chuo au na Serikali. Lakin mila zenu ilikuwa wanafunzi woote mnakusanyika pale Nkuruma hall na viongozi wanakuja na kukaa kitako kuanza kujadili matatizo yenu mpaka mnafikia kukubaliana na baadae mnarudi darasani.

Siku zote viongozi walikuwa wepesi kufika na kuongea na wanafunzi na kutatua migogoro kwa njia ya majadiliano mezani na sio kuandamana.

naona sasa utamaduni huu huko Tz umepotea kabisa. Viongozi wanajiona ni miungu watu hawataki kabisa kuwasikiliza wanaowaongoza na kupenda kutumia ubabe katika kutatua migogoro.

hakika ubabe na ubinafsi ni sumu sana katika uongozi. Kiongozi kumbuka bila kuwa na unaowaongoza wewe huwezi kuwa kiongozi. Na mnaongozwa acheni lugha za kebehi na kashfa kwa viongozi wenu. Hishma ni muhimu sana na utii wa sharia zenu mlizojitungia.

Nawasihi tena waTz rudini kwenye mila na desturi zenu za kukaa kitako na kujadili matatizo yenu mezani na sio kwa kuandamana na kutusiana.

Loh naifananisha Barza ya JF sawa na Mzee Punch wa Udsm enzi hizo.

mimi ninasema hivi hawa viongozi walianza wao kuvunja heshima yetu kwao kwa kuweka maslhi yao mbele pamoja na ubabe, ukidai haki yako wanakutishia kuwa watatumia nguvu ya dola wakati mimi ndio nilimweka hapo kwenye nafasi aliyonayo... tunaweza tu kurudi katika utamaduni wa zamani kam tu viongozi wetu wataamka katika usingizi na kukumbuka wajibu tuliowapa sisi wananchi...
 
UNAOTA?
Unajua Lugalo wanapeleka cases Muhimbili?
Unachotaka kusema ni nini? Kwamba wanajeshi walisaidia kutibu pale madaktari waligoma!?Unajua kwa mfano madaktari wa jeshi walipoenda Muhimbili, waliingia na jeuri ya amri za kijeshi, manesi waliwadindia maana hawajazoea amri bali majadiliano na kushauriana na madaktari (consultations). Ndi sababu pia kwanini madaktari wa jeshi walishindwa.

Hujui unaongea nini?

Kuna kupeleka cases lakin kuna matibabu. Lugalo wana clinics za hao super specialist ambao wanatoka muhimbili kwenda Lugalo. Na vile vile muhimbili waachukua madaktari Lugalo kuja kuattend clinics mbalimbali hapo.

Lakin sifikirii hata siku moja mgonjwa akaamishwa lugalo kuhamishiwa muhimbili kwa matibabu zaidi. Ninavyojua akitoka Lugalo basi ni nje ya nchi.

naomba ulichunguze hilo.

 
Asipoondolewa Blandina Nyoni na Deo Mtasiwa mutakuwa munatwanga maji kwenye kinu. Saa hizi wenzenu wako kwenye mchakato wa wa kuingiza kitendanishi kingine cha kupimia VVU kwa njia za kifisadi baada ya kukisimamisha kile cha SD Bioline.

WEWE UNADHANI KAMA BLANDINA NYONI NA DEO MTASIWA NA OMARI NUNDU ni WASHKAJI (MARAKIFI) WA JK UTADHANI WATAONDOLEWA?
 
Back
Top Bottom