UPDATES: Hali ya hewa jijini Dar es Salaam

UPDATES: Hali ya hewa jijini Dar es Salaam

Duh leo mvua ni tangu alfajiri mpaka sasa. Mimi bado niko ofisini nachapa mzigo nitatoka mida ya saa 2.15 hivi kuitafuta Tabata nafikiri muda huo hali itakuwa shwari kiasi.
 
Duh leo mvua ni tangu alfajiri mpaka sasa. Mimi bado niko ofisini nachapa mzigo nitatoka mida ya saa 2.15 hivi kuitafuta Tabata nafikiri muda huo hali itakuwa shwari kiasi.

Man mimi niko Ilala timing nzuri kama una usafiri binafsi toka huko saa tatu, hii foleni ya kutoka kariakoo mpaka buguruni ni noma, nimeamuwa kupark gari ilala napunguza foleni na kinana baridi.
 
Nashukuru mimi nimetoka mwenge na sasa nipo hapa kunduchi next door pub napoza koo ila bado inanyesha huku
 
Man mimi niko Ilala timing nzuri kama una usafiri binafsi toka huko saa tatu, hii foleni ya kutoka kariakoo mpaka buguruni ni noma, nimeamuwa kupark gari ilala napunguza foleni na kinana baridi.

Nami pia niko hapa ilala club ya wazee nasubili foleni ipungue niende tabata!
 
acheni papara,, Mwenye ENZI,,, muumba wa MBINGU na DUNIA,,, hofu zenu kwake ni JIBU.
 
Nipo Sinza Madukani kitu hakiendi kabisa, nimebanwa na mkojo balaa Natamani niache Gari nishuke nikakojoe, sina wa kumuachia Gari. Yaani ni adhabu juu ya adhabu
 
Ndo kwanza nimepigwa-pin posta


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kariakooo
 

Attachments

  • 1397234515576.jpg
    1397234515576.jpg
    53.5 KB · Views: 284
Nipo Sinza Madukani kitu hakiendi kabisa, nimebanwa na mkojo balaa Natamani niache Gari nishuke nikakojoe, sina wa kumuachia Gari. Yaani ni adhabu juu ya adhabu

Nunua chupa ya maji mkuu
 
Nipo Sinza Madukani kitu hakiendi kabisa, nimebanwa na mkojo balaa Natamani niache Gari nishuke nikakojoe, sina wa kumuachia Gari. Yaani ni adhabu juu ya adhabu

Kojoa ktk chupa humo humo ktk gari
 
Mbezi beach hiyo..Africana hali tete
 

Attachments

  • 1397236656569.jpg
    1397236656569.jpg
    28 KB · Views: 205
Back
Top Bottom