UPDATES: Hali ya hewa jijini Dar es Salaam

UPDATES: Hali ya hewa jijini Dar es Salaam

Niko hapa udsm campus, mvua ya leo imeharibu hadi ratiba za maso6. Kuna lectures zimeahirishwa hasa za jioni baada ya umeme kukatika.
 
Sasa kama upo home, hiyo foleni itakukumba vipi!

Chooni mkuu?! Si unajua tena nyumba za uswahilini wapangaji zaidi ya ishirini...sasa leo wapangaji wenzie wamebanwa mabarabarani hivyo yeye full kujiachia...anaingia na kutoka atakavyo....
 
Leo sijui kama kuna atakae mkorofisha mkewe. maana baridi inahitaji ushirikiano wa kina mama
 
nashukuru mungu nlrud mapema leo, maana hal ya leo c shwar kabsa, wengne leo hawakwenda kokote toka asubuh
 
gongolamboto majohe. kigogo fresh. pugu kajiungeni. balsa Huku
 
Natanguliza poleh ya dhati kwa wakazi wa mabondeni,
 
Back
Top Bottom