Mwanapropaganda
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,235
- 2,512
Kama mheshimiwa makonda, mkuu wa mkoa wa Dar es salaam alivyotangaza kuanza upandaji miti maeneo mbalimbali ifikapo siku ya leo ya oktoba mosi.
Wale mlio kwenye shughuli hiyo muhimu kwa ustawi wa mazingira tupeane taarifa ya zoezi linavyokwenda, vile vile kuwajulisha wengine sehemu ambayo miche ya miti inatolewa kwa wanaopanda miti.
OKTOBA MOSI NDIO LEO.
Wale mlio kwenye shughuli hiyo muhimu kwa ustawi wa mazingira tupeane taarifa ya zoezi linavyokwenda, vile vile kuwajulisha wengine sehemu ambayo miche ya miti inatolewa kwa wanaopanda miti.
OKTOBA MOSI NDIO LEO.