Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,379
- 21,718
Mkuu, eti, eti, nimewahi kusikia kua Walimu wa pale hua mnaingia darasani mkiwa na full combat na AK-47 begani, chaki mkononi, kitabu kwapani... ni kweli hayo?Mimi nimepanda pale round about ya Kawe. Nilikuwa pamoja na wanafunzi wangu wa Makongo...c & p