BABUU ISAKI RITTE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2024
- 200
- 194
Serikali inahusika kwa ujenzi wa barabara finyu.
Hiyo Namanga Road sio finyu, tena kwenye Barabara hiyo Serikali inastahili pongezi.Serikali inahusika kwa ujenzi wa barabara finyu.
Umeandika bila hata kujua kwamba barabara hiyo ya Namanga sio finyu.Serikali inahusika kwa ujenzi wa barabara finyu.
siyo. Zambia namba zake ni za mikoa mfano bcd,bcd,can ila mwisho wa namba itaishia na zmZF sio za Zambia?
Sidhani kwamba suala la kusachiwa ni suala la umaskini na dhiki tu bali ni mmonyoko wa kimaadili.Maiti zimesachiwa vibaya sana kwa Dhiki iliyopo Nchini kwa sasa.
Kusachi Maiti kumezidi sio swala la Maadili tena ni Survival na sasa Arusha Wizi na Ukabaji umeongezeka sana.Sidhani kwamba suala la kusachiwa ni suala la umaskini na dhiki tu bali ni mmonyoko wa kimaadili.
Kunapokuwa hakuna ajali na maiti za kusachi wana survive vipi hao wanaongejea kusachi maiti ili wa survive?.Kusachi Maiti kumezidi sio swala la Maadili tena ni Survival na sasa Arusha Wizi na Ukabaji umeongezeka sana.
Wizi ukabaji umeongezeka mara dufu kwasababu Maisha yamekuwa ni Magumu sana Arusha hebu uliza hata wenyeji watakuambia wezi wamekutwa wakila kiporo Arusha.Kunapokuwa hakuna ajali na maiti za kusachi wana survive vipi hao wanaongejea kusachi maiti ili wa survive?.
Wizi na ujambazi ni tabia za watu ndio maana huwa matukio hayo hayataisha hata kwenye Nchi zilizoendelea.Ni kutaka kupata vipato kwa njia haramu.
Swali la kijinga sana na nimekujibu sema wewe unaweka Ushabiki wa kiCCM.Kunapokuwa hakuna ajali na maiti za kusachi wana survive vipi hao wanaongejea kusachi maiti ili wa survive?.
Licha ya wezi wa tatu mzuka unaofanywa na waendesha pikipiki wizi upi umeongezeka?Unaijua Arusha wewe au unahadithiwa?Mimi ni mwenyeji tena wa kuzaliwa Arusha.Katika miaka ya karibuni Arusha ujambazi umepungua sana.Wamebaki wakwapua vibegi na wezi wa kuiba nguo kwenye kamba.Swali la kijinga sana na nimekujibu sema wewe unaweka Ushabiki wa kiCCM.
Wananchi wenyewe wa ARUSHA juzi kwenye Mkutano wa Nabii Lema walikuwa wanasema UKABAJI na WIZI umeongezeka lakini wewe unaleta ushabiki.Licha ya wezi wa tatu mzuka unaofanywa na waendesha pikipiki wizi upi umeongezeka?Unaijua Arusha wewe au unahadithiwa?Mimi ni mwenyeji tena wa kuzaliwa Arusha.Katika miaka ya karibuni Arusha ujambazi umepungua sana.Wamebaki wakwapua vibegi na wezi wa kuiba nguo kwenye kamba.
Wezi wa kuvunja manyumba kwa kutumia jiwe la "fatuma" mara ya mwisho kuisikia Arusha lini?Wizi wa silaha mara ya mwisho kusikia Arusha lini?Wachana na hearsay . Arusha imetulia sana.
Umeongezeka kwa kipimo kipi?Ukilinganisha na miaka ya nyuma Arusha wizi na ujambazi umepungua sana.Wananchi wenyewe wa ARUSHA juzi kwenye Mkutano wa Nabii Lema walikuwa wanasema UKABAJI na WIZI umeongezeka lakini wewe unaleta ushabiki.
Mimi nafikiri wangeanzisha MOT pindi gari mpya ikivuka miaka 4 tu inaanza kukaguliwa kila mwaka na kupewa certificate kama imepasi kila kitu na serikali ndio wawe na ukaguzi huo kwa gharama za kuendesha madereva watalipa hata laki 2 kwa mwakaNikisemaga madereva wengi wanaondesha magari tz ni wendawazim,huu ndiyo uwendawazim wao
Ova
Dereva alipiga honi na kuwasha taa kubwa na hazard, nao wakawa wanampigia honi na kuwasha taa huku wakiona hilo lori limebeba katapila na linakwenda kasi sana.Utingo wa Lori lililouwa Watu 25 Arusha amesema ilibidi atoe kichwa dirishani na kuwatangazia Watu Gari imefeli break
Utingo amewaambia Waandishi wa habari kutoka Kenya gari ilikuwa vizuri kabisa hadi walipofika eneo la tukio Dereva akasema break hazikamati
Source Upendo TV
My take; Honi nayo ilifeli nadhani
Hakuna Coaster ya watalii. Kulikuwa na Coaster ya shule ya New Vision ambao walikuwa na wafanyakazi wazungu, raia mmoja wa Togo aliyekuwa kwenye mafunzo na wazungu wengine kutoka Ulaya na Marekani.Wamefariki 3 na wengine wamejeruhiwa na wanatibiwa katika Hospitali ya Mount Meru Arusha.Mbona watu wapotoshaji sana mtaani. Kwamba ajali imehusisha coaster iliyobeba watalii Na hilo lori?
Nimekupata mdau . Ahsante kwa kuliweka sawa.Hakuna Coaster ya watalii. Kulikuwa na Coaster ya shule ya New Vision ambao walikuwa na wafanyakazi wazungu, raia mmoja wa Togo aliyekuwa kwenye mafunzo na wazungu wengine kutoka Ulaya na Marekani.Wamefariki 3 na wengine wamejeruhiwa na wanatibiwa katika Hospitali ya Mount Meru Arusha.