Kwenye hili unatuonea sisi wakristo, kwanza kumbuka hawa walikamatwa enzi za JK na Dr. Shein ambao wote no Waislam. Roho mbaya haichagui uwe Mkristo au Mwislamu, mhimu hawa masheikh watendewe hakiWakristo ndo mnashupalia hili swala wasiachiwe eti wataleta shida...wewe kabla ya kukamatwa walileta shida gan?
Nenda ukatoe ushahidi.nikusifu tu ww ni hafidh Qur'an allah akubariki sana
pumba nyingine ni out of content
hujua hata maudhui ya kesi za mashekh wetu
makosa yafanywe nchi nyingine uje uwekwe rumanda tena miaka tisa nchi nyingine? hayiingii akilini
chaajabu hadi leo hawajapatwa na hayo makosa.
Kama hujui ama unajua kilichowapata na vp kuhusu familia na mambo mengine ndio nawewe ujifunze jinsi ya kuheshimu sheria, kuepuka kujiingiza katika vitendo vinavyo weza kutafsiriwa kama uvunjaji wa sheria na ukitiwa mikononi ndio utajua umuhimu wa kuishi kwa kufuata utaratibu wa sheria.Unafahamu kilichowapata miaka yote 9 gerezani hao masheikh? Je kilicho wasibu familia zao? Je biashara zao? Je muda wao? Je kwanini kwa muda wa miaka 9 hawakupata hukmu yao km wakosaji? Je sheria inasemaje ktk hilo?ni kweli wakosefu? Ni magaidi? SIKU NYINGINE WW MJINGA UACHE KUANDIKA UPUUZI UTACHEKWA NA WAJUKUU SIKU ZA USONI!!!
Wale wenzao wa Mombasa walikula chuma wote...
unau ushahidi wewe acha kuropoka,hauna uwezo wa kuwarudisha oman utabaki kuota tu na chuki za kupandikizwa makanisani.kwanini wanatumia UDINI? kuwamwagia watu Tindikali na kumuua Padri
acha ujuha mnakorofisha mnakimbilia Bara na kununua ardhi, safari hii tunafufua G55 na hata mjifiche kwa kuoa tutawachomoa waOman wote na machotara wao mrudi kabisa mkawe watwana huko Oman tumewapa zamu kutawala kwa amani bila UDINI sasa vunjeni Muungano
weka ushahidi wakiitetea cuf.Ni PURE CUF ile kindakindaki.
unawajua UAMSHO?unau ushahidi wewe acha kuropoka,hauna uwezo wa kuwarudisha oman utabaki kuota tu na chuki za kupandikizwa makanisani.
Wewe akili huna? Kwani Tanzania kuweka Tamko la haki za binadamu kwenye katiba palikuwa Marekani?HAPA NI UFARANSA??. WEWE NI KICHAA
Kuhatarisha amani ya nchi ni haki katika katika haki za binadamu?Wewe akili huna? Kwani Tanzania kuweka Tamko la haki za binadamu kwenye katiba palikuwa Marekani?
weka ushahidi hao masheikh wa uamsho wako upande wa chama gani.....unaongea uongo,zile cd zao nimewahi kuziona hawakuwahi kukinadi chama chochote bali kuwakusanya wazanzibar bila kujali chama na kudai wajitawale hawataki muungano.
Sasa huo muungano ni sheria kutoka kwa mungu kwamba isivunjwe?kwa hiyo walichokifanya hicho ni kidogo?
wanadai nchi gani tanganyika au zanzibar?unawajua UAMSHO?
Uamsho - Wikipedia
walianzisha kitu tofauti na mashambulizi ya tindikali na kudai Nchi katika makosa yaliyobaki ni UHAINI tu
au uko kutetea ujinga tu hicho kisiwa waarabu koko watakisikia tu
View attachment 1766680
Serikali itakosa namna nyingine,itabidi tuu wale chumaYes kina Abdul Rogo......Kama wakitoka wakazingua kama mdau mmoja alivyosema hakika watakula vyuma.
Hujui kitu kaa kmyaMkuu shida kwenye nchi inaletwa na hawa tu? Hakuna wengine walioleta shida mbona hawajanyongwa