malimi katoro
JF-Expert Member
- Mar 31, 2015
- 358
- 153
Wakuu habari za leo,
Nauza mashine ya kuprint T-Shirt (heat press mashine) kwa bei ya shilingi 1,700,000/=. Ni 8 in 1, inaprint T-shirt, vikombe, kofia, sahani, majagi, nk.
Mashine hii inafanya kazi pamoja na printer ya Epson(L805) kwa kutumia wino wa sublimation na karatasi za sublimation ambayo naiuza Sh 800,000, ambapo kwa bei hiyo nitakupatia sublimation papers bunda 4 mpya, na wino mil 100, kopo sita, na mashine ikiwa na wino full tank. Wewe ni kuanza kazi tu.
Hivyo kwa pamoja ni sh 2,500,000/=.
Napatikana Mwanza, niko jirani kabisa na mikoa ya Simiyu na Mara.
Picha hizi hapa
Nauza mashine ya kuprint T-Shirt (heat press mashine) kwa bei ya shilingi 1,700,000/=. Ni 8 in 1, inaprint T-shirt, vikombe, kofia, sahani, majagi, nk.
Mashine hii inafanya kazi pamoja na printer ya Epson(L805) kwa kutumia wino wa sublimation na karatasi za sublimation ambayo naiuza Sh 800,000, ambapo kwa bei hiyo nitakupatia sublimation papers bunda 4 mpya, na wino mil 100, kopo sita, na mashine ikiwa na wino full tank. Wewe ni kuanza kazi tu.
Hivyo kwa pamoja ni sh 2,500,000/=.
Napatikana Mwanza, niko jirani kabisa na mikoa ya Simiyu na Mara.
Picha hizi hapa