Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,936
- 3,941
Naelewa Kariakoo ni sehemu yenye ushindani katika umiliki wa fremu na pia gharama kubwa ya kulipia rent.
Nataka nijikite katika biashara ya underwear (chupi, boxer, sox..etc). Ningependa kujua ni njia gani ya kufanya kupata fremu k.koo.
Changamoto zipi nitakutana nazo wakati wa process ya kupata fremu. Kodi ya pango inakuwa katika wastani wa bei gani.
Mengine zaidi...etc
Karibuni.
Nataka nijikite katika biashara ya underwear (chupi, boxer, sox..etc). Ningependa kujua ni njia gani ya kufanya kupata fremu k.koo.
Changamoto zipi nitakutana nazo wakati wa process ya kupata fremu. Kodi ya pango inakuwa katika wastani wa bei gani.
Mengine zaidi...etc
Karibuni.
