GOYA MNANDA
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 239
- 160
Sijuh jamanMie natafuta Mghorofa wa kununua hapo kariakoo! ivi ntapataje Bandugu?
Sijuh jamanMie natafuta Mghorofa wa kununua hapo kariakoo! ivi ntapataje Bandugu?
Kama haupo endelea kuamn ila sie ambao tumeingia kitaa kitambo tunajua kuwa uchawi upo na kwenye biashara na kilimo inatumika kwa 80%+.Hivi wa bongo mbona tunaamini Sana uchawi wakati HAUPO?. Elimika mkuu maana umeshikia bango mambo ya ndumba kwenye biashara wakati hayo mambo hayana ukweli wowote.
Duh nimesoma hali nimepata chillsKama haupo endelea kuamn ila sie ambao tumeingia kitaa kitambo tunajua kuwa uchawi upo na kwenye biashara na kilimo inatumika kwa 80%+.
Wakati namaliza chuo nilikuwa na imani kama yako ila kilichonikutaga ni siri yangu.
Wafanyabiashara wakubwa asilimia zaid ya 80 wanatumia ndumba kwenye biashara zao na ata wakulima wakubwa wanaloga na sio siri wengne wanafanya kafara pasipo ata kuficha (Nmeshuhudia hyo).
Jichanganye ukafungue biashara maeneo haya kama upo flat utakuja ujute:
Kariakoo
Tunduma
Makambako
mbeya
ifakara (hayo maeneo ninazo experience nazo).
Kanda ya ziwa kule nako usiseme.
Kama unaamini Mungu yupo ujue na upande wa pili upo pia.
Hahahahaahh...jamaa umefurahisha kwelMnatutisha aisee daah! Hapo kwenye ndumba panatisha.
Anyway kama kuna mwenye connection za kueleweka atupie
Kila mtu anaongelea ishu ya vilemba sijui milion 35...yani daahMnatutisha aisee daah! Hapo kwenye ndumba panatisha.
Anyway kama kuna mwenye connection za kueleweka atupie
HAKUNA UCHAWI acha ushirikina mkuu, tia juhudi kwenye kazi utafanikiwa acha Imani za kishamba.Kama haupo endelea kuamn ila sie ambao tumeingia kitaa kitambo tunajua kuwa uchawi upo na kwenye biashara na kilimo inatumika kwa 80%+.
Wakati namaliza chuo nilikuwa na imani kama yako ila kilichonikutaga ni siri yangu.
Wafanyabiashara wakubwa asilimia zaid ya 80 wanatumia ndumba kwenye biashara zao na ata wakulima wakubwa wanaloga na sio siri wengne wanafanya kafara pasipo ata kuficha (Nmeshuhudia hyo).
Jichanganye ukafungue biashara maeneo haya kama upo flat utakuja ujute:
Kariakoo
Tunduma
Makambako
mbeya
ifakara (hayo maeneo ninazo experience nazo).
Kanda ya ziwa kule nako usiseme.
Kama unaamini Mungu yupo ujue na upande wa pili upo pia.
Hujui mafanikio yangu so kaa kmya na hujui ata nafanya nini kwa sasa, Ila siku ukiingia kwenye biashara rasmi utakuja uelewe kama unaamn katika Mungu amin kweli ila hyo ushirikina ndio matajiri wanaosifiwa na wanaowaajir wanatumia.HAKUNA UCHAWI acha ushirikina mkuu, tia juhudi kwenye kazi utafanikiwa acha Imani za kishamba.
Vilemba kwa kariakoo kuikwepa sidhan na hasa mitaa yenye biashara kama congo na aggreyKila mtu anaongelea ishu ya vilemba sijui milion 35...yani daah
Hao majamaa zako kuwa washirikina haijustify kuwepo Kwa uchawi. UCHAWI HAKUNA, nature tu inafanya kazi yake. Mimi kila sehemu nina excel Kwa sababu moja tu juhudi na kumuamini Mungu.Hujui mafanikio yangu so kaa kmya na hujui ata nafanya nini kwa sasa, Ila siku ukiingia kwenye biashara rasmi utakuja uelewe kama unaamn katika Mungu amin kweli ila hyo ushirikina ndio matajiri wanaosifiwa na wanaowaajir wanatumia.
Jaribu kwenda kufanya Baishara ya Gems or Gold au uchimbaji kavu kavu utakuja usimulie.
Watu wanaElimu kubwa mpaka PHD alaf unakuta bado wanaLoga na hzo unakuta ni PHD za biashara.
Usione watu wanamajumba or biashara za maana wanakwambia fanya kazi kwa bidiii na wewe unaamn mtu hawez kusema kwa watu kuwa mafanikio yangu ni Kuloga ila lazma aseme tu kuwa fanya kazi kws bidii ila siri anaijua yeye.
Sema hv siamn katika uchawi ila usiseme uchawi haupo wakati Bible yenyewe imesema uchawi upo na kila siku wachungaji wanapambana na hizo nguvu sasa kukataa na kusema ni nature tu utakuwa hujui ata kwenye imani uliopo.Hao majamaa zako kuwa washirikina haijustify kuwepo Kwa uchawi. UCHAWI HAKUNA, nature tu inafanya kazi yake. Mimi kila sehemu nina excel Kwa sababu moja tu juhudi na kumuamini Mungu.
Mtaa wa MuhondaAhsante mkuu, hizi chupi na boxer huwa ni mtaa gani wanakuwepo?
Mkuu vilemba manake ndio nini?Vilemba kwa kariakoo kuikwepa sidhan na hasa mitaa yenye biashara kama congo na aggrey
Flameupatikanaji wa flame kko kuna utofauti yaan flame zinazoangalia mtaa yaan za mbele bei huwa ni laki 8 adi 1.5ml unategemea na ukubwa kuna flame za ndan kwenye coldo bei zake huwa ni laki 4 adi laki 6 na kuna flame za juu ambazo bei ni laki 3 adi 3. 5 inategemea na mtaa umechangamkaje sasa ishu kwenye kupata flame kama unamvu mtu yaan kun mtu alitangulia anakuuzia kwa bei ya maelewano ila sio chini ya 30ml adi 60ml inategemea na eneo na unalip kwa mwaka mlinz, umeme, usafi, nk karibu
Vilemba ni pesa unayompa aliekuwa analipia Frame ili uanze kulipia wewe yaan unaenda kwa mwenye jengo na kuchange details kuwa utakuwa unalipia wewe, kama hujatoa hyo unaweza bado ukawa unamlipa mpangaji alaf na yeye ndio anamlipa mwenye mjengo.Mkuu vilemba manake ndio nini?
Boss ni ishu ya vilemba hadi basi....Financial Analyst
kuna lead yoyote uliyopata mkuu mpaka sasa?
Boss ni ishu ya vilemba hadi basi....
Wewe nilikuambia tuungane tutafute fremu pamoja ukazingua.
Kodi ya fremu hapa Kariakoo ni wastani wa milioni saba kwa mwezi.
Hicho ni kiasi cha chini.
Kwa kawaida wanapokea hela miezi kumi na mbili.


