- Thread starter
- #21
Hili ni tatizo sema jiji linahitaji miundombinu imara kuweza kukidhi mahitaji ya wakazi wa jiji ila ni aibu tupu.WAtu wajiji wanapaswa jiuzulu
Mwanza ni kama hatulipagi kodi miaka ypte, ni kama wananchi hatupo vile
Maji, Barabara na umeme bado ni changamoto