Sasa tumepata jembe. Hakuna mchezo mchezoHe is a very weak pm. Sasa ukichanganya na kina Kiwete then nchi inabaki kwenye matatizo makubwa ya kuliwa na kina Rostam. It is very strange kwamba hii nchi inamchagua mtu kama Pinda as PM kwa maana kwamba ndo the best of all of them. No wonder hatutaendelea kamwe!