Upande wa pili wa Mizengo Pinda

Naona sasa tunaanza kushabikia uozo. Ni kweli pinda amekuwa so passive kiasi kwamba amekuwa mnafiki. Anaongea tu maneno ambayo hayaelekei kutusaidia zaidi ya kupuliza kidonda ili mtu asisikie maumivu wakati huo hata kama kisu kinazidi kuchimba. Hapa yeye hajashika kisu, anawapulizia wengine. Pamoja na hayo, huyu Lowassa hatutaki kumsikia kabisa. Ufisadi ambao amehusika nao unatosha kabisa na ameshakuwa tajiri. Hatumhitaji, nina hakika tutapata rais bora kuliko hawa wanaotunyonya na kutuonea kila siku.

Sidhani kama ni kushabikia uozo,kuliko mtu dhaifu kama JK,asiye kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi,ambaye tunajiuliza ni president au celebrity kwa kuwa hatuoni analofanya,nafikiri tu bora na huyo mwizi ambaye anajua tunamjua,yeye na rafiki zake.Suluhisho la hawa watu ni katiba na sheria zinazowabana na kuwataka wawe accountable na wanayoyafanya na mali wanazomiliki......CHADEMA watupe mtu tough,si hatuna neno tutamuunga mkono but not just anybody!Kama kuna mmoja alisema anafikiria kugombea....akiwa huko aliko tayari ana kashfa sijui akiwa Rais itakuwaje..............lol
 
He is a very weak pm. Sasa ukichanganya na kina Kiwete then nchi inabaki kwenye matatizo makubwa ya kuliwa na kina Rostam. It is very strange kwamba hii nchi inamchagua mtu kama Pinda as PM kwa maana kwamba ndo the best of all of them. No wonder hatutaendelea kamwe!
 
Ukweli ni kwamba toka Sokoine afe (mungu amlaze mahali pema peponi) hatujapata Waziri Mkuu
 
Namuunga mkono na miguu Edward Lowassa:
-Lowassa ni mchapa kazi
-Mpenda elimu
-Muwazi
-Upande wake unafahamika
-Mpenda maendeleo. siyo bla bla
-Ana uchungu na nchi(ushauri mzuri ktk tukio la Arusha)
Let me tell you the truth: Kama tunataka maendeleo ya kweli katika nchi Tanzania, mwaka 2015 tumchague Edwald Lowassa kuwa Raisi wetu wa Tanzania. Lowassa Edward our next President, whether you like or not, he is placed to win the Presidency 2015. Let us pray for him.Atatufaa sana! Akina Pinda hawaeleweki misimamo yao, ndumila kuwili.

Naona yalojiri Arusha yanaelekea kukufumba macho na ukijiendekeza utabaki kipofu forever and ever!!
Bora nusu shari kuliko shari kamili!
 
HAPA HATUNA PM, ni msanii tu tena wa maigizo. Lecturer wangu mmoja alinifundisha kwamba ukitaka kuwa leader/mger mzuri uctake watu wakuone mzuri/mkarimu. So huhu wetu is just an IDIOT.
 
Kiongoz mahiri ni yule mwenye misimamo thabiti.

Ubora wa kiongozi nao utokana na misimamo yake.

Tazama wale viongoz, machifu na wafalme wa zamani walifahamika kwa misimamo yao.

Kama viongozi ni karata basi wasio na msimamo ni sawa na yale magharasha.
 
Simple man or Simplified man?

12_10_6jywre.jpg
We dont need any simple man in today's politics. It is dangerous to the country and to himself. Choose one side of the coin and die holding it
 
Mtoto wa mkulima huyo - neither East (?) nor West (?)!

Practically yupo neautral na ndiyo maana kila mara statements zake uanza na neno "Mimi binafsi nadhani...." na sio "Msimamo wa Serikali ni ..."

Pinda ni fake
 
Mtoto wa mkulima huyo - neither East (?) nor West (?)!

Practically yupo neautral na ndiyo maana kila mara statements zake uanza na neno "Mimi binafsi nadhani...." na sio "Msimamo wa Serikali ni ..."
He is a watermelon! Nje kijani ndani nyekundu!
 
............. Mzee mwenye diabetes, ............ maana kisukari si mchezo...

Matusi, dharau, unyanyapaa.

Naomba ututake radhi wote wenye DIABETES MELLITUS humu ndani. Nina KISUKARI tangu mdogo, nimesoma tangu shule ya msingi mpaka chuo nikiwa nina kisukari, tena bila kufeli. Ninafanya kazi nikiwa nina kisukari na hakijaniathiri katika utendaji wangu. Na ninawafahamu wengi.

Kisukari hakiathiri uwezo wa mtu KUFIKIRI au kufanya MAAMUZI! Upupu wa Ma-kamba ni wake kama yeye na si kwa sababu ya kisukari.

But I am not so worried, I know with that lifestyle of yours, YOU'RE NEXT!
 

Originally Posted by Nyumbu-
............. Mzee mwenye diabetes, ............ maana kisukari si mchezo..


Matusi, dharau, unyanyapaa.

Naomba ututake radhi wote wenye DIABETES MELLITUS humu ndani. Nina KISUKARI tangu mdogo, nimesoma tangu shule ya msingi mpaka chuo nikiwa nina kisukari, tena bila kufeli. Ninafanya kazi nikiwa nina kisukari na hakijaniathiri katika utendaji wangu. Na ninawafahamu wengi.

Kisukari hakiathiri uwezo wa mtu KUFIKIRI au kufanya MAAMUZI! Upupu wa Ma-kamba ni wake kama yeye na si kwa sababu ya kisukari.

But I am not so worried, I know with that lifestyle of yours, YOU'RE NEXT!

Gurta i am so sorry on his/her behalf, Nimesikitishwa sana na maandishi ya nyumbu, please people, before you post anything think of the impact it will cause to innocent people.
it is true that diabetes has got no intellectual impact, even babies born to diabetic mothers are intellectually very fine. Makamba is Makamba because he is Makamba but not because he is diabetic, once again am sorry on his behalf, dont curse him/her so he can also become diabetic but just pray for him, am sure it was a slip of some of his neurons in his brain to give such a generalization.
 
Kila kiongozi sasa inabidi awe na washauri angalau wawili na hao washauri wawe wamepimwa akili.
 
mtoto wa mkulima ameendelea kuonyesha ile sura yake nyingine bungeni leo,....he is a loser!
 
nilishasema Pinda ni fisadi kujiita mtoto wa mkulima ni kutaka kuficha maovu yake, mnaona sasa mambo anayotufanyia
 
Namuunga mkono na miguu Edward Lowassa:
-Lowassa ni mchapa kazi
-Mpenda elimu
-Muwazi
-Upande wake unafahamika
-Mpenda maendeleo. siyo bla bla
-Ana uchungu na nchi(ushauri mzuri ktk tukio la Arusha)
Let me tell you the truth: Kama tunataka maendeleo ya kweli katika nchi Tanzania, mwaka 2015 tumchague Edwald Lowassa kuwa Raisi wetu wa Tanzania. Lowassa Edward our next President, whether you like or not, he is placed to win the Presidency 2015. Let us pray for him.Atatufaa sana! Akina Pinda hawaeleweki misimamo yao, ndumila kuwili.

doa la ufisadi kufutika si rahisi....labda warudishe pesa zetu!!!!
 
Namuunga mkono na miguu Edward Lowassa:
-Lowassa ni mchapa kazi
-Mpenda elimu
-Muwazi
-Upande wake unafahamika
-Mpenda maendeleo. siyo bla bla
-Ana uchungu na nchi(ushauri mzuri ktk tukio la Arusha)
Let me tell you the truth: Kama tunataka maendeleo ya kweli katika nchi Tanzania, mwaka 2015 tumchague Edwald Lowassa kuwa Raisi wetu wa Tanzania. Lowassa Edward our next President, whether you like or not, he is placed to win the Presidency 2015. Let us pray for him.Atatufaa sana! Akina Pinda hawaeleweki misimamo yao, ndumila kuwili.


Hapo ndipo ulipo kosea kumuunga mkono EL kuwa rais wetu 2015 halafu unasema "whether you like or not" naona sasa mnachakachua kura hata watanzania hawajapiga ila mkiamua ndio basi. kwa taarifa yako huyo hatachaguliwa na yeyote labda wezi wenzie
 
Du watu mnafukua nyuzi za wakati wa zilipendwa,huyu mzee sijui yuko wapi hasikiki kabisa
mawaziri wakuu wenzake waliopita wanatapatapa utafikiri siafu wameingia kwenye vyupi
 
Mzee P alikuwa neutral sana. Eg. :sisi kama serikali tumeliona hilo, tunalichukua tukajadiliane, tuone namna bora ya kuliboresha hili etc.
 
Back
Top Bottom