Re: Upande wa pili wa mizengo pinda
Namuunga mkono na miguu Edward Lowassa:
-Lowassa ni mchapa kazi
-Mpenda elimu
-Muwazi
-Upande wake unafahamika
-Mpenda maendeleo. siyo bla bla
-Ana uchungu na nchi(ushauri mzuri ktk tukio la Arusha)
Let me tell you the truth: Kama tunataka maendeleo ya kweli katika nchi Tanzania, mwaka 2015 tumchague Edwald Lowassa kuwa Raisi wetu wa Tanzania. Lowassa Edward our next President, whether you like or not, he is placed to win the Presidency 2015. Let us pray for him.Atatufaa sana! Akina Pinda hawaeleweki misimamo yao, ndumila kuwili.
kha chonde chonde mama! kumbuka hii nchi ina watu zaidi ya 42 million!! yaani ushasikia rotten egg smell unauliZa hivi hii ni HYDROGEN SULPHIDE?
Duh! yooote sawa lakini Lowasa! duh kaaazi kweli kweli!!!!