Uozo wa wakuu wa shule Bagamoyo : Mwalimu wa Geography apelekwa kusahihisha mtihani wa Kiswahili

Binti Msichana

Senior Member
Oct 9, 2016
109
247
Mkuu wa shule moja ya sekondari ya kata kwa makusudi ampeleka mwalimu wa somo la Geography akasahihishe mtihani wa Taifa wa kidato cha pili somo la Geography huku akiwaacha walimu wa somo husika.Huu ni mwendelezo wa vitendo vya rushwa na upendeleo vilivyokithiri kwa baadhi ya wakuu wa shule.

Shule hiyo ya kata ipo Bagamoyo mjini kilometa 3 kutoka Bagamoyo mjini kuelekea Dar es Salaam.Inapatikana karibu na Check point ya askari na maafisa wa TRA.

Hivi hawa baadhi ya wakuu wa shule mbona wanajisahau sana ? Kwa nini wanakiuka maadili ya utumishi wa umma kwa kukumbatia uovu ?

Nina imani na serikali ya mh.Rais John Pombe Magufuli itaondoa uozo huu na kuendelea kujenga misingi bora ya nchi.
 
WALIMU wengi wanamasomo mawili level ya Diploma yawezekana kabisa japo atakuwa anafundisha Geography lakini pia amesoma Kiswahili hivyo mtoa Mtoa mata atafakari hilo
 
Ilo mi naweza kumtetea mkuu wa shule walimu wengi somo la mahusiano kazin linawashinda mmekalia majungu tu
Najaribu pia kutetea
1. Aliyeteuliwa labda alisoma hgk
2. Mleta mada ulikosa hiyo nafasi huenda wewe shulen n mvivu mleta majungu tu kujifanya kujua kuwapa shida tu wakuu wa shule lkn mkisikia fursa macho mbele
3. Kama Mwl aliyeteuliwa n mpiga kazi kwa weledi haina shida hata kama hakusoma kisw si ipo marking scheme? Pepa lenyewe form two.
 
Najaribu pia kutetea
1. Aliyeteuliwa labda alisoma hgk
2. Mleta mada ulikosa hiyo nafasi huenda wewe shulen n mvivu mleta majungu tu kujifanya kujua kuwapa shida tu wakuu wa shule lkn mkisikia fursa macho mbele
3. Kama Mwl aliyeteuliwa n mpiga kazi kwa weledi haina shida hata kama hakusoma kisw si ipo marking scheme? Pepa lenyewe form two.
! Kuna sababu gani kuwa na specialization kwenye masuala ya kitaaluma ?
 
Tafuta njia nyingine ya kuongeza kipato wewe utakufa maskini kwa kutegemea posho za vikao na warsha zizizo na guarantee.
 
Pole kwa kuachwa ndg yangu ila napenda kukwambia kwamba posho zote za usaishaji wa mitihani mama yetu alifuta zote hivyo hakuna kipato atakachopata huyo Mwl

Labda ata gain skills tu
 
Majungu kazini. Hili hufanywa zaidi na villazer, mtu kagraduate lakini alivyofaulu anajua mwenyewe. Akija kazini ni mwendo wa majungu tu kwa sababu hana alijualo.
 
Back
Top Bottom