Uozo wa wakuu wa shule Bagamoyo : Mwalimu wa Geography apelekwa kusahihisha mtihani wa Kiswahili

Aliyeachwa ajipime, iweje aachwe wakati ni somo analolifundisha? Lazima anatatizo. Fanyeni kazi, acheni majungu na kuwa na mahusiano bora kazini.
 
Mkuu Mnyamakazi , najua wewe ni miongoni wa wale wenye mawazo mgando na kuishi kwa kujipendekeza kwa Mkuu ili ubebwe, kwa uzoefu hakuna watu wabaya kama baadhi ya wakuu wa shule, mara nyingi hupenda kuabudiwa na kunyenyekewa, bahati mbaya kuna baadhi ya walimu kwa njaa zao ikiwa wewe mmoja wao hujifanya watakakatifu kwa wakuu wa shule na hata kudiriki kujishusha hadhi zao ili waonekane wazuri kwa kujipendekeza ili wapata fursa mbalimbali za kuingiza kipato kupitia migongo ya wakuu wa shule.Mara nyingi walimu hawa kila kukicha hufikiria wafanye nini wawafurahishe wakuu wa shule.
 
Mkuu Lundavi inaonekana akili yako imeenda likizo, hakuna mtu asiyefanya kazi tatizo linabaki kwa baadhi ya wakuu wa shule wanatumia nafasi zao vibaya kwa kuwabeba baadhi ya walimu wanaowalamba miguu na kuwakandamiza wengine wenye kujielewa .Yawezekana una conflict of interest.
 
Kahorogoma nina mashaka na uwezo wako wa kufikiri...kaa ukijua baadhi ya wakuu wa shule wameoza....wamekalia unafiki na kukumbatia walimu wanaowalamba miguu...kwa akili zako zilizochacha ni sawa mwalimu wa Civics kusahihisha mtihani wa Chemistry kisa Marking scheme ?
 
Zee la Nyeti ..kwa taarifa yako hakuna watu wenye entrepreneur skills na uwezo wa kujitafutia pesa pembeni kama hao wasiowalamba miguu baadhi ya wakuu wa shule....wengi hutumia akili zao kuongeza kipato...
 
Mp Chachandu ishu so kwenda Mimi ...ishu ni baadhi ya wakuu wa shule kulewa madaraka na kufanya madudu...kwa taarifa yako Mimi si mwalimu
 
Najaribu pia kutetea
1. Aliyeteuliwa labda alisoma hgk
2. Mleta mada ulikosa hiyo nafasi huenda wewe shulen n mvivu mleta majungu tu kujifanya kujua kuwapa shida tu wakuu wa shule lkn mkisikia fursa macho mbele
3. Kama Mwl aliyeteuliwa n mpiga kazi kwa weledi haina shida hata kama hakusoma kisw si ipo marking scheme? Pepa lenyewe form two.

Hata kama ulisoma hgk hairuhusiwi kusahihisha mitihani ya somo ambalo hukulisoma diploma au degree.
 
Mkuu Lundavi inaonekana akili yako imeenda likizo, hakuna mtu asiyefanya kazi tatizo linabaki kwa baadhi ya wakuu wa shule wanatumia nafasi zao vibaya kwa kuwabeba baadhi ya walimu wanaowalamba miguu na kuwakandamiza wengine wenye kujielewa .Yawezekana una conflict of interest.
Duuu! Kwa kweli utasubiri sana maana wewe ni mwanaharakiti upumbavu. Kibaya zaidi unajiona hukosei. Jitathmini ndugu utabaki kulaumu miaka yote kujifanya huzitaki mbichi hizo kumbe unalala kuziwazia.
 
  • Thanks
Reactions: Cyn
Mkuu wa shule moja ya sekondari ya kata kwa makusudi ampeleka mwalimu wa somo la Geography akasahihishe mtihani wa Taifa wa kidato cha pili somo la Geography huku akiwaacha walimu wa somo husika.Huu ni mwendelezo wa vitendo vya rushwa na upendeleo vilivyokithiri kwa baadhi ya wakuu wa shule.

Shule hiyo ya kata ipo Bagamoyo mjini kilometa 3 kutoka Bagamoyo mjini kuelekea Dar es Salaam.Inapatikana karibu na Check point ya askari na maafisa wa TRA.

Hivi hawa baadhi ya wakuu wa shule mbona wanajisahau sana ? Kwa nini wanakiuka maadili ya utumishi wa umma kwa kukumbatia uovu ?

Nina imani na serikali ya mh.Rais John Pombe Magufuli itaondoa uozo huu na kuendelea kujenga misingi bora ya nchi.
Inamaana huyo mwalimu hajasomea kiswahili?
 
Yaani sisi wabongo sio tatizo kutopenda kusoma yaani hata tukisoma hatuelewi mtu ameleta malalamiko na yupo katika mazingira hayo ya kazi na anayajua vizuri,sasa lijitu linakuja linaanza kusema roho mbaya mara sijui wivu.Hivi kwanini isingeulizwa kwanza kama huyo mwalimu anafundisha na kiswahili au hapana na sio kuja tu kuropoka kimaandishi.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom