Uozo wa kampala international university

Blcng

Member
Oct 14, 2014
28
2
Ukianza kukifikilia chuo kikuu cha kampala international university unaweza ukaumwa kichwa kwa maana hawa waganda wanatak kuhalibu elimu ya Tanzania huku serikali yetu ikiangalia tuu, mfano first year pharmacy tupo 235, medicine 300, medical lab 175, sasa hao wanafunz utafundsh vpi watu 235 darasa moja, hao walimu sasa wa kinigeria yaan ndo utakufa maana hawajui kitu, cha kustaajabsha kampala kuna wanfunz wa TCU wakat chuo hakina usajir wa hizi koz za afya, ivi hii serikali yetu inakwaje inashindwa kukifungia chuo cha matapel wa kiganda maana wanaaribu elimu yetu. SIJAKULUPUKA wadau mm ni mwanafunz wa chuo kampala kam ulikuw unakifiklia icho chuo ndug yangu ni bora ukalime maana utapotez ela na mda wako
 
Km chuo hakina usajili wa hizo kozi ilikuwaje tcu ipange wanafunzi hapo? Utakuwa umekurupuka tuuu, maana hakuna namna ingine
 
Kama hakina usajili kwanini mnaendelea kua hapo?? Je kuna watu walisha maliza chuo na wakatambulika??
 
Bora mafatilie mpewe maelekezo ya nini cha kufanya ili mpate mnachostahili
 
Duuuh wanafunzi wote hao?Serikali yetu jamani Duuuh mbona inasikitisha,mambo kama aya adi tutafute msaada nje ya nchi jamani,embu toeni ii aibu.
 
it all depend on instruction approaches. and technology. kwani lecture inawezekana mkawa wwngi hata 300. ila tutorials/seminars na practicala mkawa wachache 15-20 per instr. Nimesoma nje ya nchi na tulikuwa namba kubwa mno kwa kozi ya medicine na nilichoelezea was the approach
 
Kama hakina usajili kwanini mnaendelea kua hapo?? Je kuna watu walisha maliza chuo na wakatambulika??

yeah wapo wanafunz wa chet na dip wamemaliz wana mwez wa tisa wapo kitaa hata tempo hawapat
 
Kuna ndugu yangu mwaka jana mwezi wa tisa kidogo avae mkenge kuja kujiunga hapo KIU!

Bahati njema alichaguliwa St. Francis university college Morogoro!

Hicho chuo nasikia rumous kuwa ni cha Yower Kaguta Mseven! Na papaa Mkulu ameshapewa fungu lake mapema! unafikiri atakuwa na ubavu/jeuri ya kukifungia hata kama hakina usajiri?!


Kilichobaki ni watoto wa maskini kuhesabu maumivu!!
 
"Ukianza kukifikilia chuo kikuu cha kampala international university unaweza ukaumwa kichwa kwa maana hawa waganda wanatak kuhalibu elimu ya Tanzania huku serikali yetu ikiangalia tuu, mfano first year pharmacy tupo 235, medicine 300, medical lab 175, sasa hao wanafunz utafundsh vpi watu 235 darasa moja, hao walimu sasa wa kinigeria yaan ndo utakufa maana hawajui kitu, cha kustaajabsha kampala kuna wanfunz wa TCU wakat chuo hakina usajir wa hizi koz za afya, ivi hii serikali yetu inakwaje inashindwa kukifungia chuo cha matapel wa kiganda maana wanaaribu elimu yetu. SIJAKULUPUKA wadau mm ni mwanafunz wa chuo kampala kam ulikuw unakifiklia icho chuo ndug yangu ni bora ukalime maana utapotez ela na mda wako"



Ndugu, labda TCU walikuchagua huko for a reason:doh: :crazy:
 
Back
Top Bottom