Naomba msaada kuhusu Kampala International University

Masyah Suleikham

New Member
May 16, 2023
1
1
Habari zenu wakuu,

Nahitaji kujua kuhusu hali ya ubora wa chuo cha Kampala International University kwa sasa, maana hapo miaka ya nyuma nliskia kashfa nyingi kuhusu hiki chuo.
 
Chuo kizuri sana wako jirani na Mimi hapa.
1.Taaluma naona Wana waalimu wa kutosha na majengo rafiki sana
2.Michezo nadhani hiki kwa Sasa kwa Tanzania ndio chuo kinachoongoza kwa michezo kwa wanafunzi
3.Afya Wana huduma mule ndani ila wako karibu na zahanati ya goms na kitonka hospital
4.Hostel kwa mule ndani zipo ila pia maeneo yote yanayozunguka chuo zimejaa
5.Usafiri kuja na kutoka chuoni nadhani ni 24hrs hasa ukitumia kituo Cha Mali asili (goms) na mwendo Kasi ndio hiyo inakuja.
6.Ada zao pia ni rafiki sana tena sana
7.starehe na burudani chuo chote kimezungukwa na pubs na migahawa midogo ya chakula na ila TNT imevunjwa kwa Sasa labda uende kule Kumalija
8.Nyumba za ibada zipo ndani ya chuo ni utasali Tani Yako tena kwa uhuru mkubwa(awaruhusu maandamano)
9.wanafunzi wake kwa kweli wengi naona ni watulivu sana hawana mambo mengi ila ni wananukia hadi nje ya chuo ukipita utasikia marashi
10.kwa ujumla ni chuo Bora
 
Chuo kizuri sana wako jirani na Mimi hapa.
1.Taaluma naona Wana waalimu wa kutosha na majengo rafiki sana
2.Michezo nadhani hiki kwa Sasa kwa Tanzania ndio chuo kinachoongoza kwa michezo kwa wanafunzi
3.Afya Wana huduma mule ndani ila wako karibu na zahanati ya goms na kitonka hospital
4.Hostel kwa mule ndani zipo ila pia maeneo yote yanayozunguka chuo zimejaa
5.Usafiri kuja na kutoka chuoni nadhani ni 24hrs hasa ukitumia kituo Cha Mali asili (goms) na mwendo Kasi ndio hiyo inakuja.
6.Ada zao pia ni rafiki sana tena sana
7.starehe na burudani chuo chote kimezungukwa na pubs na migahawa midogo ya chakula na ila TNT imevunjwa kwa Sasa labda uende kule Kumalija
8.Nyumba za ibada zipo ndani ya chuo ni utasali Tani Yako tena kwa uhuru mkubwa(awaruhusu maandamano)
9.wanafunzi wake kwa kweli wengi naona ni watulivu sana hawana mambo mengi ila ni wananukia hadi nje ya chuo ukipita utasikia marashi
10.kwa ujumla ni chuo Bora

Wewe ni afisa masoko wa chuo?haya tupe na changamoto za hapo mana haziwezi kosekana.
 
Wewe ni afisa masoko wa chuo?haya tupe na changamoto za hapo mana haziwezi kosekana.
Mimi napiga kiut pale, nipo health department..
Chuo kipo poa Sana ila kwa sisi tunaopiga udaktari pale changamoto nazoziona ni hizi:
1.Dressing code
Kama vyuo vingine vya afya kama kcmc, hua uvaaji ni OFFICIAL, Yani medical student inatakiwa uvae suti, au basi suruali ya kitambaa na shati, tai nk, uvaaji wa kiut ni CASUAL, yaani we vaa tu kivyovyote jeans, chini sandal, jezi nk hii inaleta changamoto hasa wadada unaeza kuta yupo kitovu nje..

2. Ada na matumizi mengine
Ada ya udaktari ni 7.2M pia kuna matumizi mengine kama kununua lab manuals, kitabu Cha kufanya assignment zote etc kila semester andaa 50k ya hayo makolokolo...kwa Ada ya 7.2M inabidi tupewe hivo vitu na chuo, lakini imekua kama biashara Fulani hivi..

Kwa upande wangu hizo tu ndio changamoto, mambo mengine naona yapo super saaana...malecturer wapo wakutosha kutoka nchi mbalimbali....
*Dr Omar Maceo Palacio: kutoka CUBA
*PROF Adesanya; kutoka NIGERIA(fundi wa anatomy na head of department)
*DR Ruth Aquisku Okot; NIGERIA
*DR Ntongwisangu: MB,ChB,PhD-Renal physiologist
*Dr Okot Asi nku-Ekpang- NIGERIA

You are warmly welcomed..🙏
 
Mimi napiga kiut pale, nipo health department..
Chuo kipo poa Sana ila kwa sisi tunaopiga udaktari pale changamoto nazoziona ni hizi:
1.Dressing code
Kama vyuo vingine vya afya kama kcmc, hua uvaaji ni OFFICIAL, Yani medical student inatakiwa uvae suti, au basi suruali ya kitambaa na shati, tai nk, uvaaji wa kiut ni CASUAL, yaani we vaa tu kivyovyote jeans, chini sandal, jezi nk hii inaleta changamoto hasa wadada unaeza kuta yupo kitovu nje..

2. Ada na matumizi mengine
Ada ya udaktari ni 7.2M pia kuna matumizi mengine kama kununua lab manuals, kitabu Cha kufanya assignment zote etc kila semester andaa 50k ya hayo makolokolo...kwa Ada ya 7.2M inabidi tupewe hivo vitu na chuo, lakini imekua kama biashara Fulani hivi..

Kwa upande wangu hizo tu ndio changamoto, mambo mengine naona yapo super saaana...malecturer wapo wakutosha kutoka nchi mbalimbali....
*Dr Omar Maceo Palacio: kutoka CUBA
*PROF Adesanya; kutoka NIGERIA(fundi wa anatomy na head of department)
*DR Ruth Aquisku Okot; NIGERIA
*DR Ntongwisangu: MB,ChB,PhD-Renal physiologist
*Dr Okot Asi nku-Ekpang- NIGERIA

You are warmly welcomed..
Safi sana mi huwa naona kwa nje TU najua MKo poa endelea kupiga kitabu changamoto ziko kote
NB:chuo chenu kinanukia marashi hadi huku nje wapita njia tunabarikiwa sana
 
Mimi napiga kiut pale, nipo health department..
Chuo kipo poa Sana ila kwa sisi tunaopiga udaktari pale changamoto nazoziona ni hizi:
1.Dressing code
Kama vyuo vingine vya afya kama kcmc, hua uvaaji ni OFFICIAL, Yani medical student inatakiwa uvae suti, au basi suruali ya kitambaa na shati, tai nk, uvaaji wa kiut ni CASUAL, yaani we vaa tu kivyovyote jeans, chini sandal, jezi nk hii inaleta changamoto hasa wadada unaeza kuta yupo kitovu nje..

2. Ada na matumizi mengine
Ada ya udaktari ni 7.2M pia kuna matumizi mengine kama kununua lab manuals, kitabu Cha kufanya assignment zote etc kila semester andaa 50k ya hayo makolokolo...kwa Ada ya 7.2M inabidi tupewe hivo vitu na chuo, lakini imekua kama biashara Fulani hivi..

Kwa upande wangu hizo tu ndio changamoto, mambo mengine naona yapo super saaana...malecturer wapo wakutosha kutoka nchi mbalimbali....
*Dr Omar Maceo Palacio: kutoka CUBA
*PROF Adesanya; kutoka NIGERIA(fundi wa anatomy na head of department)
*DR Ruth Aquisku Okot; NIGERIA
*DR Ntongwisangu: MB,ChB,PhD-Renal physiologist
*Dr Okot Asi nku-Ekpang- NIGERIA

You are warmly welcomed..🙏
Naomba kujua kuhusu pharmacy wapoje pale mkuu natanguliza shukrani za dhati
 
Back
Top Bottom