GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,647
- 109,037
Binafsi nimeshatonya nini kinaendelea dhidi yake na alifanya nini huko ( kule ) Niger ila nyie mnaficha na Kufanya Siri ili tu kutozua Taharuki kwa Mashabiki na Kuwagawa Wachezaji.
Kwa Kujiamini kabisa tena 100% GENTAMYCINE nasema Kiungo wa Simba SC Jonas Gerald Mkude haumwi kama ambavyo mnatudanganya Wiki hii ya Pili sasa bali ni tatizo la Kinidhamu na Kimaadili amelifanya.
Tafadhali tumeshamchoka japo binafsi nilimpenda na nampenda kutokana na Kipaji chake Kikubwa cha Kucheza Mpira ila sasa imetosha na Msimu huu ukimalizika tu achacheni nae na kama anataka kwenda Kucheza Yanga SC ambako tunayemjua tokea akiwa anacheza Kinondoni Biafra, Kawe, Simba B na hadi ya Wakubwa basi aende tu kwani ameshatukinai na Nidhamu yake mbovu na Maadili yake ni mabaya.
Kuna za chini chini ( ambazo si nzuri nimezipata ) hivyo nangoja kuona kama kuna JF Members wengine hapa Watu wa Mpira ( hasa Wapenzi wa Simba SC ) kama nao wamezipata.
Simba SC endeleeni tu Kutuficha sawa?
Kwa Kujiamini kabisa tena 100% GENTAMYCINE nasema Kiungo wa Simba SC Jonas Gerald Mkude haumwi kama ambavyo mnatudanganya Wiki hii ya Pili sasa bali ni tatizo la Kinidhamu na Kimaadili amelifanya.
Tafadhali tumeshamchoka japo binafsi nilimpenda na nampenda kutokana na Kipaji chake Kikubwa cha Kucheza Mpira ila sasa imetosha na Msimu huu ukimalizika tu achacheni nae na kama anataka kwenda Kucheza Yanga SC ambako tunayemjua tokea akiwa anacheza Kinondoni Biafra, Kawe, Simba B na hadi ya Wakubwa basi aende tu kwani ameshatukinai na Nidhamu yake mbovu na Maadili yake ni mabaya.
Kuna za chini chini ( ambazo si nzuri nimezipata ) hivyo nangoja kuona kama kuna JF Members wengine hapa Watu wa Mpira ( hasa Wapenzi wa Simba SC ) kama nao wamezipata.
Simba SC endeleeni tu Kutuficha sawa?