Wakishua123
Member
- Aug 10, 2021
- 6
- 96
Taarifa iwafikie uongozi wa Rockcity Mall acheni wizi kwenye Mashine zenu za parking haiwezekani msiweke bei ya parking wazi.
Hata kwa kuzibandika kwenye bango ili wateja tujue tunachajiwa kiasi gani na kwa muda gani mtawafukuzisha wateja wanaokuja kutumia hela hapo.
Hata kwa kuzibandika kwenye bango ili wateja tujue tunachajiwa kiasi gani na kwa muda gani mtawafukuzisha wateja wanaokuja kutumia hela hapo.