Uchaguzi 2020 Uongozi wa CHADEMA ulikuwa sahihi "kuwatimua" TBC katika uzinduzi wa kampeni zake

Nianze mada yangu kwa kunukuu Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, ibara ya 18(1) nayo inasema hivi "Kila mtu yuko huru kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake na kutafuta, kupokea na kutoa habari na dhana zozote kupitia chombo chochote bila kujali mipaka ya nchi na pia uhuru wa mawasiliano yake kutoingiliwa kati na mtu yeyote" mwisho wa kunukuu.

Hebu sasa tutazame nini kilitokea kule Zakheim Mbagala katika ufunguzi wa kampeni zake chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA.

Watangazaji wa TBC walifika "kwa shingo upande" katika uwanja huo kwa nia ya kuonyesha LIVE matangazo hayo.

Nini kilitokea katika urushaji matangazo hayo?

Wasikilizaji wa TBC walibaini kukatwa katwa kwa matangazo kwa matangazo hayo.

Ndipo Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa alipoamuru watangazaji hao "wafungashe virago" vyao na waondoke uwanjani hapo katika muda wa dakika 15!

Wapo wananchi wanawalaumu viongozi wa CHADEMA kuwa eti kitendo chao hicho kilikuwa si cha kiungwana!

Hapo hapo TBC wakatoa taarifa ya kulaani kitendo cha kufukuzwa "kinyama" watangazaji wake kwenye ufunguzi wa kampeni hizo.

Hebu turejee katika utangazaji wa TBC katika kipindi chote hiki cha utawala wa serikali ya awamu ya 5, bila shaka hata mtoto mdogo anayesoma chekechea atakuwa anajua kuwa TBC imejigeuza kuwa kama televisheni ya CCM, kwa kutangaza "sifa na mapambio" kwa serikali hii ya CCM, chini ya kiongozi wake Rais John Magufuli.

Hata hivyo TBC ni chombo cha Umma na hakipaswi "kuhodhiwa" na chama chochote cha siasa na kinapaswa kitoe "airtime" iliyo sawa kwa vyama vyovyote vya siasa nchini, bila kufanya upendeleo wowote, kwa kuwa sisi wananchi walipa kodi, bila kujali itikadi zetu za kisiasa, ndiyo tunaoiendesha TBC

Nini kilitokea jana?

Ni dhahiri kuwa hao TBC walifika pale uwanjani Zakheim kwa maelekezo maalum ya wakubwa wao ili waje "wauhujumu" ufunguzi huo wa kampeni.

Nimesikiliza tamko lao TBC la kulaani "kutimuliwa" pale uwanjani, wakihalalisha ukatajikataji wao wa matangazo, wakidai wanafanya hivyo kwa mujibu wa sheria ya vyombo vya habari ya mwaka 2020, ya maudhui ya vyombo vya habari!

Niwaukize TBC hivi mnajua kuwa sheria mama, nikimaanisha Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ndiyo "supreme" ya sheria zote nchini?

Kwa kuweka ibara ya sheria iliyoko kwenye Katiba, hamuoni kuwa nyinyi TBC ndiyo mmeivunja Katiba ya nchi kwa kutotaka wananchi waisikie hotuba ya viongozi wakuu wa ChADEMA kwa kisingizio cha sheria yenu kandamizi ya vyombo vya habari, ambayo "inajicontradict" na sheria mama, ambayo ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambayo inatoa Uhuru huo wa habari haupaswi uingiliwe kati na chombo chochote hapa nchini?
Tuone kama leo wata kataka matangazo ya CCM kama viongozi wa CCM watasema vibaya wapinzani. Kwa kweli kitendo cha TBC jana kukatakata hotuba za viongozi wa CDM kilikuwa kinawaudhi sana wasikilizaji. Nilishukuru sana kutimuliwa.
 
Nianze mada yangu kwa kunukuu Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, ibara ya 18(1) nayo inasema hivi "Kila mtu yuko huru kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake na kutafuta, kupokea na kutoa habari na dhana zozote kupitia chombo chochote bila kujali mipaka ya nchi na pia uhuru wa mawasiliano yake kutoingiliwa kati na mtu yeyote" mwisho wa kunukuu.

Hebu sasa tutazame nini kilitokea kule Zakheim Mbagala katika ufunguzi wa kampeni zake chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA.

Watangazaji wa TBC walifika "kwa shingo upande" katika uwanja huo kwa nia ya kuonyesha LIVE matangazo hayo.

Nini kilitokea katika urushaji matangazo hayo?

Wasikilizaji wa TBC walibaini kukatwa katwa kwa matangazo kwa matangazo hayo.

Ndipo Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa alipoamuru watangazaji hao "wafungashe virago" vyao na waondoke uwanjani hapo katika muda wa dakika 15!

Wapo wananchi wanawalaumu viongozi wa CHADEMA kuwa eti kitendo chao hicho kilikuwa si cha kiungwana!

Hapo hapo TBC wakatoa taarifa ya kulaani kitendo cha kufukuzwa "kinyama" watangazaji wake kwenye ufunguzi wa kampeni hizo.

Hebu turejee katika utangazaji wa TBC katika kipindi chote hiki cha utawala wa serikali ya awamu ya 5, bila shaka hata mtoto mdogo anayesoma chekechea atakuwa anajua kuwa TBC imejigeuza kuwa kama televisheni ya CCM, kwa kutangaza "sifa na mapambio" kwa serikali hii ya CCM, chini ya kiongozi wake Rais John Magufuli.

Hata hivyo TBC ni chombo cha Umma na hakipaswi "kuhodhiwa" na chama chochote cha siasa na kinapaswa kitoe "airtime" iliyo sawa kwa vyama vyovyote vya siasa nchini, bila kufanya upendeleo wowote, kwa kuwa sisi wananchi walipa kodi, bila kujali itikadi zetu za kisiasa, ndiyo tunaoiendesha TBC

Nini kilitokea jana?

Ni dhahiri kuwa hao TBC walifika pale uwanjani Zakheim kwa maelekezo maalum ya wakubwa wao ili waje "wauhujumu" ufunguzi huo wa kampeni.

Nimesikiliza tamko lao TBC la kulaani "kutimuliwa" pale uwanjani, wakihalalisha ukatajikataji wao wa matangazo, wakidai wanafanya hivyo kwa mujibu wa sheria ya vyombo vya habari ya mwaka 2020, ya maudhui ya vyombo vya habari!

Niwaukize TBC hivi mnajua kuwa sheria mama, nikimaanisha Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ndiyo "supreme" ya sheria zote nchini?

Kwa kuweka ibara ya sheria iliyoko kwenye Katiba, hamuoni kuwa nyinyi TBC ndiyo mmeivunja Katiba ya nchi kwa kutotaka wananchi waisikie hotuba ya viongozi wakuu wa ChADEMA kwa kisingizio cha sheria yenu kandamizi ya vyombo vya habari, ambayo "inajicontradict" na sheria mama, ambayo ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambayo inatoa Uhuru huo wa habari haupaswi uingiliwe kati na chombo chochote hapa nchini?
Tangu lini habari za CDM zina maana TBC? Wakatangaze zingine.
 
Nianze mada yangu kwa kunukuu Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, ibara ya 18(1) nayo inasema hivi "Kila mtu yuko huru kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake na kutafuta, kupokea na kutoa habari na dhana zozote kupitia chombo chochote bila kujali mipaka ya nchi na pia uhuru wa mawasiliano yake kutoingiliwa kati na mtu yeyote" mwisho wa kunukuu.

Hebu sasa tutazame nini kilitokea kule Zakheim Mbagala katika ufunguzi wa kampeni zake chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA.

Watangazaji wa TBC walifika "kwa shingo upande" katika uwanja huo kwa nia ya kuonyesha LIVE matangazo hayo.

Nini kilitokea katika urushaji matangazo hayo?

Wasikilizaji wa TBC walibaini kukatwa katwa kwa matangazo kwa matangazo hayo.

Ndipo Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa alipoamuru watangazaji hao "wafungashe virago" vyao na waondoke uwanjani hapo katika muda wa dakika 15!

Wapo wananchi wanawalaumu viongozi wa CHADEMA kuwa eti kitendo chao hicho kilikuwa si cha kiungwana!

Hapo hapo TBC wakatoa taarifa ya kulaani kitendo cha kufukuzwa "kinyama" watangazaji wake kwenye ufunguzi wa kampeni hizo.

Hebu turejee katika utangazaji wa TBC katika kipindi chote hiki cha utawala wa serikali ya awamu ya 5, bila shaka hata mtoto mdogo anayesoma chekechea atakuwa anajua kuwa TBC imejigeuza kuwa kama televisheni ya CCM, kwa kutangaza "sifa na mapambio" kwa serikali hii ya CCM, chini ya kiongozi wake Rais John Magufuli.

Hata hivyo TBC ni chombo cha Umma na hakipaswi "kuhodhiwa" na chama chochote cha siasa na kinapaswa kitoe "airtime" iliyo sawa kwa vyama vyovyote vya siasa nchini, bila kufanya upendeleo wowote, kwa kuwa sisi wananchi walipa kodi, bila kujali itikadi zetu za kisiasa, ndiyo tunaoiendesha TBC

Nini kilitokea jana?

Ni dhahiri kuwa hao TBC walifika pale uwanjani Zakheim kwa maelekezo maalum ya wakubwa wao ili waje "wauhujumu" ufunguzi huo wa kampeni.

Nimesikiliza tamko lao TBC la kulaani "kutimuliwa" pale uwanjani, wakihalalisha ukatajikataji wao wa matangazo, wakidai wanafanya hivyo kwa mujibu wa sheria ya vyombo vya habari ya mwaka 2020, ya maudhui ya vyombo vya habari!

Niwaukize TBC hivi mnajua kuwa sheria mama, nikimaanisha Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ndiyo "supreme" ya sheria zote nchini?

Kwa kuweka ibara ya sheria iliyoko kwenye Katiba, hamuoni kuwa nyinyi TBC ndiyo mmeivunja Katiba ya nchi kwa kutotaka wananchi waisikie hotuba ya viongozi wakuu wa ChADEMA kwa kisingizio cha sheria yenu kandamizi ya vyombo vya habari, ambayo "inajicontradict" na sheria mama, ambayo ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambayo inatoa Uhuru huo wa habari haupaswi uingiliwe kati na chombo chochote hapa nchini?

CHADEMA walikuwa 100% sahihi kuwafukuza hao tbccm. Kwanza tbccm washukuru kutimuliwa mapema maana kila dakika iliyokuwa ikienda hasira za wananchi dhidi yao ilikuwa inapanda kwa kasi baada ya kuona ushenzi wao wa kukatakukata matangazo kipuuzi. Wangechelewa kidogo tu kupewa amri ya kufunga virago, wangestukia wengi wao sasa hivi wamelazwa MOI. Huwezi kutumia Kodi ya wananchi halafu unawaletea nyodo wananchi haohao. Mbona leo Dodoma tbccm haikatiki? Pumbavu.
 
CDM wako sahihi kabsa acha kile kituo kisalie kua cha Maombi ya Nambari Uno.
 
itoshe tu kusema kwamba kilichotokea jana ni moja ya Dalili za wazi kati ya dalili nyingi kuwa nchi nzima inaendeshwa na mtu mmoja tu...cha kushangaza zaidi watu wa kusifu na kuabudu bado wanaona lile swala ni SAWA TU as long as halijagusa MASLAHI YAO..!!
 
Siasa ni mchezo mchafu, CCM ni baba lao kwenye hii michezo.
TBC inafanya kazi kwa kuisaidia CCM ishinde.
Kwa kuwa pia hii tume sio huru hivyo wapinzani nao wawe tayari kwa kila rafu itakayowakuta.
Mnachotakiwa kukijua ni kwamba aliyepo madarakani hayupo tayari kuachia ngazi.
Ukiona kuna chama cha upinzani hakina mgombea mmoja aliyeenguliwa ujue hicho kinaubia na chama tawala.
 
TBC walienda kupiga story zao kwenye mikutano ya CHADEMA. kuita Live ilikua ni njia ya kupiga per diems.
Haijawahi tokea duniani eti unafanya narration na analysis kwenye tukio Live.

TBC hawana tofauti na Njugushi kwa walichokua wanakifanya. Wanasimulia watu tukio ambalo watu wenyewe wanaliona Live.
Ni ujuha uliopitiliza kufanya upumbavu ule kwenye mob kama ile. Wana bahati hawakuchapwa makofi.
 
Nianze mada yangu kwa kunukuu Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, ibara ya 18(1) nayo inasema hivi "Kila mtu yuko huru kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake na kutafuta, kupokea na kutoa habari na dhana zozote kupitia chombo chochote bila kujali mipaka ya nchi na pia uhuru wa mawasiliano yake kutoingiliwa kati na mtu yeyote" mwisho wa kunukuu.

Hebu sasa tutazame nini kilitokea kule Zakheim Mbagala katika ufunguzi wa kampeni zake chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA.

Watangazaji wa TBC walifika "kwa shingo upande" katika uwanja huo kwa nia ya kuonyesha LIVE matangazo hayo.

Nini kilitokea katika urushaji matangazo hayo?

Wasikilizaji wa TBC walibaini kukatwa katwa kwa matangazo kwa matangazo hayo.

Ndipo Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa alipoamuru watangazaji hao "wafungashe virago" vyao na waondoke uwanjani hapo katika muda wa dakika 15!

Wapo wananchi wanawalaumu viongozi wa CHADEMA kuwa eti kitendo chao hicho kilikuwa si cha kiungwana!

Hapo hapo TBC wakatoa taarifa ya kulaani kitendo cha kufukuzwa "kinyama" watangazaji wake kwenye ufunguzi wa kampeni hizo.

Hebu turejee katika utangazaji wa TBC katika kipindi chote hiki cha utawala wa serikali ya awamu ya 5, bila shaka hata mtoto mdogo anayesoma chekechea atakuwa anajua kuwa TBC imejigeuza kuwa kama televisheni ya CCM, kwa kutangaza "sifa na mapambio" kwa serikali hii ya CCM, chini ya kiongozi wake Rais John Magufuli.

Hata hivyo TBC ni chombo cha Umma na hakipaswi "kuhodhiwa" na chama chochote cha siasa na kinapaswa kitoe "airtime" iliyo sawa kwa vyama vyovyote vya siasa nchini, bila kufanya upendeleo wowote, kwa kuwa sisi wananchi walipa kodi, bila kujali itikadi zetu za kisiasa, ndiyo tunaoiendesha TBC

Nini kilitokea jana?

Ni dhahiri kuwa hao TBC walifika pale uwanjani Zakheim kwa maelekezo maalum ya wakubwa wao ili waje "wauhujumu" ufunguzi huo wa kampeni.

Nimesikiliza tamko lao TBC la kulaani "kutimuliwa" pale uwanjani, wakihalalisha ukatajikataji wao wa matangazo, wakidai wanafanya hivyo kwa mujibu wa sheria ya vyombo vya habari ya mwaka 2020, ya maudhui ya vyombo vya habari!

Niwaukize TBC hivi mnajua kuwa sheria mama, nikimaanisha Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ndiyo "supreme" ya sheria zote nchini?

Kwa kuweka ibara ya sheria iliyoko kwenye Katiba, hamuoni kuwa nyinyi TBC ndiyo mmeivunja Katiba ya nchi kwa kutotaka wananchi waisikie hotuba ya viongozi wakuu wa ChADEMA kwa kisingizio cha sheria yenu kandamizi ya vyombo vya habari, ambayo "inajicontradict" na sheria mama, ambayo ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambayo inatoa Uhuru huo wa habari haupaswi uingiliwe kati na chombo chochote hapa nchini?
Mkuu mimi mwenyewe nilikuwa nafuatilia kupitia ile ledio ya taifa gafla mara wakaweka mziki mara waongee wao nahiyo ntimanyongo ilianza tu mara baada ya lema kupanda hapo ndipo mauza uza yalipo anza mh mbowe kapanda tayari walishaanza figisu zao tangu lema akiongea
 
Hivi inawezekanaje TBC ndiyo ijifanye inafanya "censorship" ya matangazo wanayoyarusha na kukatakata matangazo, wakidai kuwa maudhui yake hayaendani na maudhui ya sheria ya vyombo vya habari?

Kinachokatazwa kwenye sheria hiyo ni matusi pekee

Hebu TBC muueleze Umma wa watanzania ni sehemu gani katika hotuba ya viongozi wa CHADEMA jana walitukana?

Hivi kwa viongozi wa CHADEMA kuishinikiza Tume ya Taifa ya uchaguzi kurejesha majina ya wagombea wa vyama vya upinzani, ambayo yamekatwa kihuni ndiyo kulisababisha TBC iyakate kate matangazo hayo?

Hivi nini kina maslahi kwa Taifa letu, Tume iyakate kihuni majina hayo au viongozi wa upinzani waishinikize Tume hiyo ili itende haki kwa kuwarejesha hao walioenguliwa kihuni?
Nilidhani mkurugenzi wa tbc TBC ndugu Ayubu Ryoba ni miongoni wa watu wastaarabu, kumbe naye ni bogus kabisa, malalamiko ya TBC ni ya unafiki ulio pitiliza.
 
Back
Top Bottom